Recent content by BrownRange

  1. B

    Vijana wa Tanzania tunajifunza nini kuteuliwa kwa Waziri Mkuu wa Ufaransa mwenye miaka 34?

    Mbona Africa imetoa Marais wengi vijana kuliko huyo, hakuna jipya hapo
  2. B

    Hakuna mbunge yeyote anayeleta maendeleo, maendeleo huletwa na Serikali

    Kwa mfumo wa nchi za kiafrika, hakuna mbunge anayeleta maendeleo, Kama Serikali haina kipaumbele na eneo husika, hata mbunge ufanyeje, huwezi kupata hayo maendeleo Naomba kuwasilisha
  3. B

    PreGE2025 Pascal Mayalla: Vyama vya siasa visipewe ruzuku, viongozi wake wajitolee

    Yupo sawa kabisa. La sivyo na vilabu vya mpira vianze kupewa ruzuku, kila mtu afaidi kwa upande wake
  4. B

    Ushauri Unahitajika, ununuzi wa kiwanja

    Wakuu habari Nataka kununua kiwanja Cha kijana ambaye amefariki, yaani hakuwa na mke, Wala mtoto. Wazazi wake wameshafariki. Ana ndugu zake wawili waliozaliwa pamoja Ni taratibu gani zitumike ili mtu anunue kiwanja
  5. B

    Barabara ya Kibada mpaka Kimbiji kupigwa lami

    Naona barabara ya MBEZI LUIS KWENDA MPIJI MAGOE bado inasahaulika
  6. B

    Uwe ba roho mbaya kiasi gani, utaondoka tu duniani

    Ujumbe wa leo
  7. B

    Natafuta partnership kwenye biashara ya Clearing and Fowarding

    Mkuu milioni Saba unafungua kampuni ya clearing, duh unazijua gharama zake kuanzia mwanzo Hadi kuwa na ofisi, kuwa serious basi
  8. B

    Natafuta partnership kwenye biashara ya Clearing and Fowarding

    Wakuu bado sijapata mtu wa kupatner mwenye wateja
Back
Top Bottom