kwakweli wamebore
sikutazamia kuwa huu ndio mwisho walioutaka ambao ulifanya jana washimdwe kufikia muafaka
au watuambie tu kuwa llimewashinda lakin c uamuzi kama huu ambao hauna mashiko.
unajielewe wewe? majina ya ccm uliotaja ayo naona kama ni vivuli tu, hakuna mtu wa ukweli apo. kati yote uliotaja kuna jina moja tu yaan lowasa ndie anaogopesha lakn wengne hamna kitu.
hujaeleweka mkuu, ilikuwa mradi wa serikali. sasa uo mkadaba wa maji na mawazil4 wengi wanafanya ivo pia ko kwa kigezo hicho magufuli na mwakyembe wanafaa zaid
wewe mi nama huelewi bado kuhusv machine hizo, kusema eti walizoea ujanja wa kuiba uko nyuma c hoja, kinacholengwa hapo ni kunyonya kila kitu kinachozalishwa na wananchi(surplus). kwann hawataki wav waendelee jamani. wameshndwa kukusanya hela kutoka maliasili zinazoibwa, kuzuia mafisad bal...
may be, but am not sure if tz wil be in jeopardy. the guarantee of our security is not determinined by zanziber but they are interdependent.. The move of zanziber concerning their constitution and flag it is enough alarm to this issue
nadhani hili ni bora zaid kuliko serikal mbili. japo hatujui vizur maudhi yatakayo jitokeza lakin hili litakuwa na uhalisia fulan kuelekea watanganyika na wazanzibar
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.