Recent content by Broussard

  1. Broussard

    Yanga akipoteza mchezo wa leo naomba nipigwe Ban kwa miezi 6

    wazee wa kujilipua uwanja ni wenu jumapili sio mbali.
  2. Broussard

    Inawezekana mtumishi wa Serikali kulipwa mafao Milioni 10 baada ya miaka 39 kazini?

    Ni kipengele Mbona kias ni kidogo sana Inatisha sasa
  3. Broussard

    Inawezekana mtumishi wa Serikali kulipwa mafao Milioni 10 baada ya miaka 39 kazini?

    Habari wakuu, Naomba niende kwenye mada, kwa wenye uelewa na hili naomba kufahamu zaidi. Ni sahihi au kuna upigaji kwenye hili? Miaka 39 kazini Serikalini. Mafao hayazidi 10Million Mshahara aliostaafia Laki 6 (miaka 7) Kabla alikuwa akilipwa 250K-450K Asante
  4. Broussard

    Nifanyeje sina hisia nae kabisa

    Pole sana una moyo wa upendo na uvumilivu kwa kiwango cha lami
  5. Broussard

    Nahitaji msaada wenu kwenye hili

    Nitafuata ushauri wako mkuu asante. Sisomeshi nnahudumia nnatimiza wajibu wangu kwake kama mwanaume. Kwao wanamudu kumlipia gharama zote za masomo na hajawai kuniambia hata mara moja anahitaji nimlipie gharama za masomo kwahiyo kuhusu hilo la kusomesha sipo kabisa. ni kweli kabisa mkuu ngoja...
  6. Broussard

    Je, unaweza kurogewa viwakilishi vya starehe?

    Nitajaribu kulifatilia hili
  7. Broussard

    Nahitaji msaada wenu kwenye hili

    [emoji16] huyu ni mke tatzo ni hilo tu likipata ufumbuzi naoa. Ni zipi nzuri kwa matumizi nisaidie majina nitazitafuta. Sawa mkuu Utaoa au utamuumiza tu? [emoji16] ubize wa kusoma upo sana na anapambana sana kusoma nadhani hii pia n kutokana na hali halisi ya familia yake. Nitaongea nae...
  8. Broussard

    Nahitaji msaada wenu kwenye hili

    Kwani huwa kinachobikiriwa ni nini?
  9. Broussard

    Je, unaweza kurogewa viwakilishi vya starehe?

    Kuifuta hiyo laana nini kifanyike mkuu
  10. Broussard

    Je, unaweza kurogewa viwakilishi vya starehe?

    Huwa sitak pombe inizoee kwakweli naiogopa sana, mama alikuwa akisema kila mara atakaerithi hiyo tabia ya baba yake itakuwa ni mara 3 zaid sasa hii si kama laana,?
Back
Top Bottom