Habari wakuu,
Naomba niende kwenye mada, kwa wenye uelewa na hili naomba kufahamu zaidi.
Ni sahihi au kuna upigaji kwenye hili?
Miaka 39 kazini Serikalini.
Mafao hayazidi 10Million
Mshahara aliostaafia Laki 6 (miaka 7)
Kabla alikuwa akilipwa 250K-450K
Asante
Nitafuata ushauri wako mkuu asante.
Sisomeshi nnahudumia nnatimiza wajibu wangu kwake kama mwanaume. Kwao wanamudu kumlipia gharama zote za masomo na hajawai kuniambia hata mara moja anahitaji nimlipie gharama za masomo kwahiyo kuhusu hilo la kusomesha sipo kabisa.
ni kweli kabisa mkuu ngoja...
[emoji16] huyu ni mke tatzo ni hilo tu likipata ufumbuzi naoa.
Ni zipi nzuri kwa matumizi nisaidie majina nitazitafuta.
Sawa mkuu
Utaoa au utamuumiza tu?
[emoji16] ubize wa kusoma upo sana na anapambana sana kusoma nadhani hii pia n kutokana na hali halisi ya familia yake.
Nitaongea nae...
Huwa sitak pombe inizoee kwakweli naiogopa sana, mama alikuwa akisema kila mara atakaerithi hiyo tabia ya baba yake itakuwa ni mara 3 zaid sasa hii si kama laana,?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.