Ningalikuwa mie ndo Jaji wa mahakama ya mafisadi ningejiuzuru maana nao ni ufisadi kula limshahara bils hata kufanya kazi. Kweli udisadi hauishi.
Atakayeshitakiwa kuwa fisadi siku hiyo aombe mwongozo majaji watoe ufafanuzi kujua maana yake akilenga uwepo wao.
Mm hilo dogo, kuna mahala wanasimlia wakora kwamba kuna mshikaki wa govi.yaa I tohara ikifanyika zile govi huchomwa na mafuta halafu huuzwa kama vipande vya utumbo wa kuku na wa mbuzi. Jiangalie usikutane na vipande hivyo.
Friji, air conditioner na freezer kuna namna yake ya matumizi na utunzaji ili vidumu. Hapa tuko kikazi na kitaaluma zaidi ili uokoe matumizi ya umeme na kudumisha kifss chako
Hivi mnaosema ni smart mliwahi kumsikia wapi huyo Felix Manyama Maagi? Sasa nawwambia hivi, Board iko makini kimteua huyu jamaa.na yeye yuko makiini kama board iliyomteua. Hongera lakini jifunze ule huruma na upole achana nao enzi hizi.
Faida ingineyo ya kugomea kuingi kinyang'anyiro cha uchaguzi ni
_ kelele mitaani zitapungua bsada ya kumtsngsza mshindi adiye na mpinzani
_ matokeo hayatangazwi usiku maana yatawahishwa
_ foleni zitapungua za kusubiri kutumbukiza kura
_ kazi za uzalishaji bado watu wataenda
_ mawakala no...
Watu waongo kweli aisee, hilo daraja na barabara amelifanikisha akiwa Chadema au ccm. Sasa kuyakamilisha yaliyobaki atayakamilishaje akiwa nje ya nafasi yake? Nadhani ujazo huko ccm umetosha la sivyo wataanza kugombania nafasi halafu wakizikosa watudanganye tena kuw ccm ni wabinafsi.
Kumbe nje...
Nakumbuka kabla ya vyama hivi vya upinzani enzi hizi za 95 hadi leo kulikuwa na wapinzani wasikuwa na vyama na hawajuwa na usajili nao walijitumbukiza ktk magumu mengi. Vyama ni geresha tu wapinzani ni watu. Qanaorejea ccm z sio kama wameridhia bali wanajificha ndani humo kuwa kikulacho.wakalete...
Nchi ya wasiojulikana hii. Nashangaa baba wetu anawatuma watoto wachanga wafanye uchunguzi wakati anajua huwa hapatikani mtu na majibu yatakuwa yaleyale hatujashindwa bali tunaendelea na uchunguzi lazima apatikane. Baba wakikuchelewesha ita vyombo [emoji7] vya nje watakupa jibu siku nne sio...
Acha hilo ni kubwa la kuhamasisha ns kusndaa watia virungu fikiria yule diwani wa ubungo (meya) alitiwa ndani eti walisikia tetesi, na wala sio maneno yake eti alijiandaa kuhamasisha vurugu wskati wa uchaguzi ameachiwa usiku wa manane sas 7.basda ya masaa 15. Mie nacheka tu kicheko cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.