Natafuta Kiwanja 20 x 20 Bagamoyo mjini, kiwe jirani na makazi ya watu, bajeti yangu ni Milioni 2.
Nb:
Jaribio lolote la utapeli, likafanywe kwingine tafadhali.
Wakuu,
Mwaka jana nilianzisha kiofisi changu kidogo tu mtaani cha secretarial services (hasa kuprinti na kuscan kwani nilibaini kuwa nilipo ni njia kubwa ya wanachuo) baada ya kupata laptop refurbished, scanner na printer ndogo.
Kwa kuwa sipendi migogoro,
Nikaenda TRA nikakadiriwa kulipa...
Natumai kuwa wengi ni wazima humu jamvini.
Niende kwenye mada.
Majuzi nilienda kununua TV duka fulani Kariakoo,
Ikawashwa kwa majaribio na ikawaka.
Nilipofika nyumbani nimeiwasha, imeonesha kwa nusu saa tu ikazimika na haikuwaka tena.
Asubuhi nikarudi nayo kule dukani na kuwaeleza...
Waheshimiwa,
Nisaidieni wapi naweza kupata gauni zuri la harusi (hasa yale za kihindi) ila yawe na stara ya kulandana na imani ya Kiislam.
Kwa uwezo wangu naomba iwe kati ya elfu 50 hadi elfu 80.
Najua wanawake nd'o watachangia vema sana hapa,
Ingawa wanaume nao mnakaribishwa.
Kwa mwenye...
Nitaziangalia tena form.
Ila kuhusu ufaulu si tatizo,
Kwani sijawahi kupata C.
Unanishauri vipi kuhusu kwenda kuulizia chuoni?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.