Recent content by Broken soul

  1. B

    Yupo aliepata kitambulisho cha taifa?

    Acha dharau wewe!! Google na JF wapi na wapi
  2. B

    Lowassa kuendesha harambee kubwa kuwezesha kila kijana Dar kumiliki bodaboda!

    Huyu anataka kumaliza vijana, yan bodaboda zinavyoua!
  3. B

    Kwa nini unidanganye? usinichkulie poa poa!

    Leo si krismass ndo maana, muelewe hivyo hvyo tu
  4. B

    Kwa nini unidanganye? usinichkulie poa poa!

    Labda ulimi ulitereza mkuu
  5. B

    hivi uchawi kwenye mapenzi upo?

    Habari za skukuu wapendwa! Natumai mmeenjoy vya kutosha Back to the topic!!!!!! Hivii kweli mtu anaweza akamroga mwenzake ili ampende?? Leo asubuhi nimekuta msg kwenye inbox Fb yangu from this dude, nsingependa kumwongelea sana; inasema hivii "Wallahy km utaendelea hv me bora...
  6. B

    strong desire to have sex andi'm a virgin. what do i do?

    Nakuomba anzisha thread yako mkuu
  7. B

    Mwanamke: Mambo ya kuepuka pale mwanaume uliyekuwa na mawasiliano naye anapokata kamba…!

    Mtambuzi Ahsante kwa hii thread.....alafu hivi kwanini wanaume hua wanakata mawasiliano khafla kama ulivyoeleza hapo awali, sababu plz
  8. B

    strong desire to have sex andi'm a virgin. what do i do?

    PM kuko salama tu, ntakutumia link Back to the topic Maswali yako ni mazuri I understand what you mean, kweli naweza kusema company yangu sio nzuri kuanzia mashoct zangu hadi hao male friends, si unajua vijana, tukikaa they only speak abt the boys/girls they are dating alaf najikuta...
  9. B

    strong desire to have sex andi'm a virgin. what do i do?

    Thanxx dada (I assume we mwanamke) lol ushauri wako nimeupenda most especially hapo kwenye subira, tuombe mungu tu inshaallah utaalikwa kula hilo pilau lol
  10. B

    strong desire to have sex andi'm a virgin. what do i do?

    Ushauri ni msaada wa kutosha mbona
Back
Top Bottom