Usimuhukumu maana wengi ndo tupo hivyo, utakuta mtu hali kitu fulani kwa sababu za kidini ila pombe na uzinzi kaweka mbele, unabaki kujiuliza labda kuna dhambi kubwa na ndogo (zinazosamehewa na zisizosamehewa)
HApo hawataweza kupata takwimu za uhakika kamwe, kuna watakao kua hawajahesabiwa siku za nyuma wataamkia sehemu ambazo wameshahesabiwa, Data zitakazopatikana hazitakua sahihi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.