Ushauri wa bure hayo mwachie mwanao afu wewe tafuta ng'ombe ndo uwe unamnyonya yale matiti yake ni matamu na utaenjoy kisha lete feedback hapa jukwaani.
Hakuna tatizo mbona...!! Hata baba wa Taifa kuna hotuba moja nilimsikia wakati anazungumzia suala la rushwa alisema "mtoa rushwa na mla rushwa wote majiganyanga wote watapata msukosuko...". Mbona hamkuhoji hiyo hotuba,? acheni Rais wetu afanye kazi kwa uhuru jamani.
Hapa ndo penyewe sasa; yaani wanaotumia vyeti visivyo vyao ni wengi aisee. Kuna VEO mmoja na Mwl mmoja ninataarifa zao wanatumia vyeti si vyao. HAPA KAZI TU hadi waishe wote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.