Yani hapo hukutakiwa kuchukua advance against salary sababu ulishafanya process ya kuhama kwao na kuhamia benki nyingine. Mbaya zaidi baada ya kupokea salary hukulipa deni kwao kabla akaunti yako haija overdraw.
Unajua riziki anatoa Mungu, sasa kama umekuwa ukimpinga Mungu na kutokuwa na upendo kwa watu, kibao kinakugeukia. Waombee watu mema nawe pia ujaaliwe mema. Upendo ndio amri kuu ya Mungu kuliko amri zote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.