Tumeanza kazi kama broker wa viwanja,magari na nyumba za kupanga katika jiji la Arusha.
Gharama zetu ni ni nafuu sana,kwenye upangaji wa nyumba mpangaji anachangia 40% hadi 50% ya kodi ya mwezi, ili kurahisisha mambo tumeandaa form ambazo mteja atajaza sifa za nyumba anayoitaka,maeneo ambayo...