Nahitaji mtu wa kushirikiana naye kwenye biashara ya Properties management, land & house brokers, Debts Collection.
Awe Arusha na mwaminifu.
N.b. kampuni tayari ipo
Siku ukihitaji mtu/mfanyakazi mwingine mwenye hasa sifa hivi mvumilivu, muaminifu, mchapakazi, nijulishe PM nikupe mtu mfanye kazi... Anauwezo kufanya kazi popote pale atakapohitajika...
Habari wanajamvi....?
Hii ni habari njema kwa wafanya biashara wenye maduka makubwa,kati na madogo yenye uhitaji,,,,
Kampuni yetu pendwa ya NEXIS tunapenda kuwataarifu kuwa tunawakaribisha ili muweze kununua software system kwa gharama rafiki ambayo itaweza kukusaidia kufanya record ya mahesabu kwenye mauzo ya duka lako pasipo na usumbufu na kuweza kukupa mahesabu sahihi ya stock yako iliyopo kwenye duka lako ,yaani itakusaidia kujua total ya mauzo yaliyofanyika kwa siku na pia inakuwezesha kujua stock iliyobakia kupitia computer yako iliyopo ofisini vile vile tunaweza kukuunganisha direct kupitia smart phone yako...
PoS system ni program yenye ubora zaidi na ni program rafiki kwa mfanya biashara kujua stock ya biashara yako kwa ujumla ..
nachukua fursa hii kuwakaribisha sana
kwa mawasiliamo zaidi piga 0692449416
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.