Huwezi hata kutunga uongo.lini mafuta yaliuzwa kwa 1800? Umeshindwa nn kufanya utafiti mdogo bei waliyokuwa wakijazia mafuta? Waliwezaje kufanya yote hayo vyombo vya serikali vikiwepo?
Unachofanya ni ujinga na kuoutsmart serikali yako.poor
Mbona unataka watibu dalili za ugonjwa baaada ya ugonjwa wenyewe? Kama hao unaodai wanamfadhili ndo walimsababishia hayo matatizo aliyopata,ilikuwa kazi ya vyombo vya usalama kuclear doubt? Mtu ameumizwa, anahangaika mwenyewe kujitibu,mnaibuka na hoja dhaifu dhaifu tu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.