kuna SOCIAL CONDITIONING za ajabu sana ...
Yaani huwezi kumwambia mtu kama unampenda kwa kuhofia NINI? unaogopa tu kuitwa CHOKO?
Mbona mnapata tabu sana vijana maisha yenyewe mafupi mnoo mtakufa mmebinua makalio kwa msongo wa mawazo!!
Wacha niendelee na majukumu ya kiserikali.
Njaa na uchoyo vimetawala na kutamalaki miongoni mwa watanganyika.
Ukienda kwa ndugu hasa wa DAR roho zinawafurukuta wanahisi utawamalizia MAUGALI YAO.
MAUGALI yanafichwa uvunguni mpaka mida ya wanga ndo wanayatoa wanaanza kubugia fasta fasta kama wachawi.
Nyama zinafichwa kwenye SOKSI.
Huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.