Recent content by BRAZA CHOGO

  1. BRAZA CHOGO

    Nini Sababu: Mume amehama ghafla na kwenda kupanga bila ugomvi wala maelezo yoyote

    🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂 Ushamfira mamilo mara ngapi? Cc: Extrovert kawombe ChoiceVariable
  2. BRAZA CHOGO

    Nini Sababu: Mume amehama ghafla na kwenda kupanga bila ugomvi wala maelezo yoyote

    Labda mke wake ANANUKA MDOMO! Domo likichacha nalo nyumba haikaliki unajikuta unahamia hotelini kwa muda! Cc: Lamomy Extrovert
  3. BRAZA CHOGO

    Nini Sababu: Mume amehama ghafla na kwenda kupanga bila ugomvi wala maelezo yoyote

    Umeng'ang'ania kujua sababu si ameshakwambia hakuna shida! inabidi utulize tu mshono afande! Labda mke wake ANANUKA MDOMO! Cc: Lamomy Kalpana binti kiziwi ChoiceVariable Lucas Mwashambwa Nyani Ngabu Poor Brain Extrovert
  4. BRAZA CHOGO

    PreGE2025 Ruvuma: Wazee wa Madaba wamuomba Dkt. Joseph Mhagama agombee tena Ubunge 2025

    Looh! Nilijua mhagama yule mama wa wizara ya Afya ningechekaa balaaa! Tangu lini awe dokta wakati wote tunajua JENISTA ana DIPLOMA ya hapa na pale!!
  5. BRAZA CHOGO

    Hapa Dodoma kuna watu washambashamba sana wanajifanya wapelelezi

    Nipo hapa nimevaa kaunda suti nyeusi nakuzoom tu unavyobugia BIA kwa hofu
  6. BRAZA CHOGO

    Tajiri wa Mitandaoni wa watanzania

    Wivu utawaua
  7. BRAZA CHOGO

    Mwanaume hutakiwi kupokea zawadi kutoka kwa mwanaume mwenzako

    kuna SOCIAL CONDITIONING za ajabu sana ... Yaani huwezi kumwambia mtu kama unampenda kwa kuhofia NINI? unaogopa tu kuitwa CHOKO? Mbona mnapata tabu sana vijana maisha yenyewe mafupi mnoo mtakufa mmebinua makalio kwa msongo wa mawazo!! Wacha niendelee na majukumu ya kiserikali.
  8. BRAZA CHOGO

    Niwekee Tyres nzuri kwa ajili ya sakafu!! Nimechagua rangi hadi kichwa kinaniuma

    Duuhh wenzetu mnaendesha magurudumu ya sakafuni! Hadi rahaa
  9. BRAZA CHOGO

    Sijui nimepatwa na shida gani wakuu, sifurahii tendo la ndoa

    Hivi huwa mnataka kufanya mapenzi kama VIFARU? Unataka kuunganisha mabao kwani wewe ni MANDONGA? Kimoja kinatosha jamani, tuache wehu!
  10. BRAZA CHOGO

    Nimesikia / Nimemsikia vibaya peke yangu au?

    🧐🧐 Purely talented and charismatic fella 🧐🧐
  11. BRAZA CHOGO

    Utafiti waonyesha wagonjwa walio na kipato kikubwa wanapolazwa mahospitalini hutembelewa na watu wachache ambao pia hukaa nao muda mfupi

    masikini hawana cha kukupa zaidi ya kujirundika makundi kwa makundi wakisubiri kupata chochote kitu.
  12. BRAZA CHOGO

    Roadlife

    Kwa sisi tunaofanya kazi ya kuokota makopo tunapata tabu sana unakutana na kopo limejaa mbolea! Mtuombee!
  13. BRAZA CHOGO

    Hii misemo ya kijamaa imepotelea wapi ndugu zangu?

    Njaa na uchoyo vimetawala na kutamalaki miongoni mwa watanganyika. Ukienda kwa ndugu hasa wa DAR roho zinawafurukuta wanahisi utawamalizia MAUGALI YAO. MAUGALI yanafichwa uvunguni mpaka mida ya wanga ndo wanayatoa wanaanza kubugia fasta fasta kama wachawi. Nyama zinafichwa kwenye SOKSI. Huwa...
Back
Top Bottom