Anawakilisha jimbo la wana kinondoni au waandishi???
Kwa hiyo wananchi tusimpe support??
Apewe support na waandishi kwa vile ni muandishi au ni bora katika wagombea??
Hizi siasa za maccm na macdm ni hovyo..
Haya yamechukua aliekimbia kazi halafu hawa wamemfata looser wa huko zanzibar...
Voda wameweka huduma ya kulipa kwa Mpesa baadhi ya sehemu hata shelly.
Hatuoni pia its possible kwa kila mtu mwenye duka awe na huduma hiyo tena isimamiwe na wakala wa serikali TTCL MONEY waanzishe maana issue ni line tu ya uwakala anapewa kila mwenye duka......
Ifanyike ivo kila sehem hata km...
Kwa kipindi cha siku kadhaa kumekuwa na hali ya kurushiana vijembe kutoka pande mbili za siasa yaani chama tawala na upinzani baada tu ya Lazaro Nyarandu kuhama chama.
Napenda nitoe mtizamo wangu kwa kujiuliza haya....
CCM
1. Ya nini kumsemea nyalandu ubaya baada tu ya kuondoka?
2. Kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.