Mkuu,simba Nina swali la ndoto inanirudia rudia toka mwalka 2017,huwa nimepata ota ndoto kwamba nipo jukwaa moja na Hayati Rais mwinyi (kabla hajafariki)...Nikaja ota nipo na Hayati Ben mkapa jukwaan (kabla ajafa) Nilipata Ota nipo natembea na Rais wa Rwanda Kagame,,,Paul makonda (alkiwa mkuu wa...