Watu wanaenda kufuatana na mabadiliko ya kimazingira ama teknolojia, sio lazima MTU akae stand masaa kibao kusubiria gari ijae ilihali anahitajika haraka sehemu husika.
Bajaji zimekuwepo kwa sababu ya uhitaji kama daladala zilivyokuwa zinahitajika hapo kabla. Ila serikali nayo ndio inayochangia...
Hata sisi bajaji tunalipia
Sumatra, bima,ushuru wa parking, stika ya manispaa, posho kwa bosi n.k je kwani sisi sio watanzania kama nyie?
Hatuna majukumu kama nyie?
Acheni wivu, uvivu,husuda na roho za chuki kwa wenzio.
Lazima tuifuatilie serikali maana ni kodi zetu... Hao fastjet mbona walikuwa fresh tu kabla ya hizi njiwa za Magu? Natamani fastjet isitishe safari zake zote ili tuone hivyo vinjiwa vya Magu vitakavyowajibika
Brawn Shao
Ni mambo gani alofanya Mtakatifu wenu ambayo yanawanufaisha watanzania wa hali ya chini. Ni jambo gani amelifanya kama rais lenye tija kwa Taifa? Anza kuorodhesha.
Brawn Shao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.