Traffic polisi stendi kuu Arusha hongereni kwa time management

Traffic polisi stendi kuu Arusha hongereni kwa time management

Boniphace Kichonge

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2017
Posts
1,605
Reaction score
1,958
Good morning!

Tupo kwenye foleni ndani ya basi tunasubiri muda rasmi wa kuondoka kwenda Dar. Saa 12:00 juu ya alama mabasi yanaruhusiwa kuondoka

Nimefurahishwa sana na Time Management ya Traffic Police Stendi Kuu ya mabasi Arusha.
 
Good morning!
Tupo kwenye foleni ndani ya basi tunasubiri muda rasmi wa kuondoka kwenda Dar. Saa 12:00 juu ya alama mabasi yanaruhusiwa kuondoka
Nimefurahishwa sana na Time Management ya Traffic Police Stendi Kuu ya mabasi Arusha.
Safari njema watanzania wenzangu
 
Hiyo mbona kawaida sana mikoa karibu yote wanafanya hivyo yaani hakuna haja hata ya kusifia hapo, hata hapa ubungo gari zinaanza kuruhusiwa hiyo hiyo 12:00 asubuhi zinazunguka kwenye lane ya mwendokasi zinatembea..
 
Hiyo mbona kawaida sana mikoa karibu yote wanafanya hivyo yaani hakuna haja hata ya kusifia hapo, hata hapa ubungo gari zinaanza kuruhusiwa hiyo hiyo 12:00 asubuhi zinazunguka kwenye lane ya mwendokasi zinatembea..
Je yale ambayo hayaingii stendi inakuwaje?
 
Mkuu nitaitumikia nchi yangu kwa hali yoyote ile. V8 sio kitu kwangu japo sijawahi kuimiliki wala kuipanda.
Dah, pole sana Mkuu, hebu jitahidi siku moja ipande na ikiwezekana iendeshe kabisa japo 100km tu halafu rudi tujadiliane tena nione kama bado utakua na msimamo huu huu wa kutumikia nchi bila kutaka V8.
 
Mkuu nitaitumikia nchi yangu kwa hali yoyote ile. V8 sio kitu kwangu japo sijawahi kuimiliki wala kuipanda.
Umepanda bus gani Mkuu?

Happy Nation?

Hai express?

Skyline?

Machame express?

Ngorika?

Extra luxury?

Moshi Luxury?

Mbazi?

Osaka?

Ibra?

Arusha one?

KLM?

Dar express?.

Dar lux?

Chakito?
 
Hiyo mbona kawaida sana mikoa karibu yote wanafanya hivyo yaani hakuna haja hata ya kusifia hapo, hata hapa ubungo gari zinaanza kuruhusiwa hiyo hiyo 12:00 asubuhi zinazunguka kwenye lane ya mwendokasi zinatembea..
Hapo ubungo zikisharuhusiwa zinavotimka ni fujo tupu
 
All the best mkuu kumbuka kumuomba Mungu mana safar Ni hatua
 
Amen wapendwa
Kwa kweli Uzi huu leo umetawaliwa sana na upako kutoka kwa wachangiaji wake.
 
Good morning!

Tupo kwenye foleni ndani ya basi tunasubiri muda rasmi wa kuondoka kwenda Dar. Saa 12:00 juu ya alama mabasi yanaruhusiwa kuondoka

Nimefurahishwa sana na Time Management ya Traffic Police Stendi Kuu ya mabasi Arusha.

mkuu inaonekana ni mara yako ya kwanza kupanda gari hpo arusha! mabasi ya arusha hapo hasa yale yenye ofs nje ya stendi yamekuwa kero sana! huondoka dk 5-10 kabla ya saa 12:00 asubuhi kwa kile wanachokiona wao kama LIGI barabarani, abiria kadhaa wamelalamika kuachwa na mabasi haya.

ko matrafic wanaweza kuwa wanaona wameweza upande wa stendi lakini upande wa mabasi yenye stendi nje ya stendi bado ni shida sana!
 
Back
Top Bottom