Recent content by Bravoozi3

  1. Bravoozi3

    Utatumia mbinu gani kukwepa ndoa ya kimasihara?

    ikitokea Umemleta demu ghetto ukidhani atakaa siku moja mara ghafla anakata wiki nzima, hujakaa sawa anafuata kwao mabegi na baadhi ya vyombo, mara ghafla anaanza kukuuliza mtoto wetu wa kwanza tutamuita nani?, wakati huna hata mpango wa kuoa, je utalikiambia ghetto lako au utatumia mbinu gani...
  2. Bravoozi3

    Nikipata shida nasaidiwa sana na wanawake, hii inasababishwa na nini?

    Mimi ikitokea nimepata tatizo napata msaada na support kubwa sana kutoka kwa wanawake. Hata kipindi nasoma wasichana walipenda kushirikiana na mimi katika discussions na walinisaidia materials ili nifaulu, na endapo nilifeli walijikusanya hata wasichana watano kunipa ushauri. Sasa ni mtu mzima...
  3. Bravoozi3

    STORI YANGU; Nilimsomesha mpaka chuo lakini bado wakataka kunimaliza yeye na Mama yake!

    Hii chai umechanganya na pilipili tukinywa tupige chafya🤔
  4. Bravoozi3

    Mke wa Kaka hataki kunifulia nguo

    Chai na matikiti
  5. Bravoozi3

    Mwanaume unaoa ukiwa bado unaishi kwenu, una akili kweli?

    Hii Gen Z ina mambo mengi sana, ni kawaida kukuta mtoto wa kiume ameoa na bado anaishi kwa wazazi, yani alipo olewa mama yake na yeye analeta demu wake, huku ni kuvunjia heshima wazazi, kama unajijua ni kijana unayesumbuliwa na genye za kipumbavu basi nenda ukapange na sio kumaliza pwiru wako...
  6. Bravoozi3

    Moyo mpweke - nahitaji mke wangu wa maisha

    Huu ni uoga wa kutongoza
  7. Bravoozi3

    Mzee ananuka mdomo: Kero usafiri wa umma

    Ungepuliza pafyumu kwenye domo lake linukie
  8. Bravoozi3

    Hello future Hubby

    Dunia simama
  9. Bravoozi3

    Hakuna utajiri wa kishetani, Kama kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina, Kwanini watu maskini wasiutumie kuondokana na umaskini wao?

    Umenikumbusha mbali, nimekumbuka kuna mganga aliniambia ili ninunue gari inabidi nitekenye maiti mpaka icheke.
Back
Top Bottom