Ila tabia ya mtu kutoa maoni tofauti alafu wale tuliokuwa tunamwamini ndo tukawa wa kwanza kumdhihaki inaonesha ni namna gani hatuna subira.
Ukihisi mtu amekwenda tofauti na ulivyomzoea, mpe muda kwanza, sio kumshutumu haraka vile.
Lakini pia, sisi tunaotick October, tushajua udhaifu wenu😀...