Recent content by bravofau2

  1. B

    JamiiForums Tanzania Kwahiyo Kigaila na Mwalimu ni Paka na Panya! Leo anamuita Mwalimu Samaki aliyeoza kwenye tenga

    Jambo lililokusudiwa lilishapita, kinachofanyika sasa ivi ni kutaka kutuaminisha kwamba hawa wenzetu ni wapinzani wa kweli. Mpango ulikuwa ni kuhalalisha uchaguzi na umefanikiwa. So, sio Salum wa Chauma mwenye cha kupoteza hapo. Tuliopoteza ni sisi.
  2. B

    JamiiForums Tanzania Barua ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwenda FIFA

    Jamaa usitulishe matango pori, wewe tunakujua ni mwenzetu wa okitoba tunatik. Hapa unataka kuyapakazia tu haya majamaa ya NrNe. Yanawezaje kuandika barua wakati yamefungiwa shughuli za kisiasa? Kiukweli chadema mnatuyumbisha vichwa, hatujielewi kabisa. Sijui tufanyeje mrudi ulingoni😅
  3. B

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli CHADEMA wanaamini kupitia kauli zao kuwa watu hawatashiriki uchaguzi basi chama hakina viongozi

    Wenzangu ambao October tuna tick mbona kila ukipita flani tunalizungumza hili swala? Tukubali tu kwamba haya majamaa yameshatuweza, mpaka sasa tunaenda ku tick kwa aibu sana. Na tungekuwa hatujayazuia kufanya shughuli za kisisia basi hali yetu ingekuwa mbaya zaidi. Poa poa yetu ni kesi zao...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Watanzania wanahamishwa kizembe sana kutoka kwenye mambo na mijadala ya msingi ya Kitaifa

    Hili ndio tatizo letu kubwa. Na tunajiona tuko sawa. Siku zote nawaambia, sisi ccm tuna mbinu nyingi sana, na tumeshajua hulka yenu, na sasa ivi pia tunaongeza nguvu kubwa kwa taifa stars ili mpaka mashindano yanapokamilika tutakuwa tumepitisha mambo yetu mengi. Tumefanikiwa 1: Kumdhibiti...
  5. B

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Watu walibet press conference ya taratibu. Kwamba itakuwepo au haitakuwepo. Waliosema itakuwepo wamepiga mpunga.
  6. B

    JamiiForums Tanzania Polepole akifanya press conference leo nipigwe ban ya siku mbili

    Ila majamaa mabishi sana, tunayageuza geuza huku na huku lkn yamekomaa no reforms no Election. Kingekuwa chama kingine kingeshakufia mbali kabisaa. Kila mbinu yanapuuzia nakusonga mbele. Jana imebidi tuongeze idadi ya wazuiliwa wa kufanya siasa mpaka kesi yao iishe... sasa sijui yataibukaje.
  7. B

    JamiiForums Tanzania Wamepitisha haraka haraka kanuni za Ulinzi wa Mashahidi eti kuficha mashahidi! Yote ni kwa sababu ya Lissu

    Ila marefa wangepunguza kutupendelea, kiukweli hata sisi tunaotick October tunaona aibu. Chadema hii game tushawapiga mchana kweupe😀
  8. B

    JamiiForums Tanzania GE2025 Baada ya uchaguzi CHADEMA watashikwa na butwaa kusubiri miaka mitano ijayo nje ya siasa

    Ila ujue sisi ndio tunahangaika, haya majamaa yanajua yanachokifanya, yanasema tuendelee tu na uchaguzi, yenyewe yamemaliza swala lao kwamba NrNe Wewe mleta mada na mimi, pamoja na wote tunaoendelea na uchaguzi October, kiukweli tunahaha sana😀. Inavoonesha haya majamaa hayataingia kwenye...
  9. B

    JamiiForums Tanzania Lissu ni mwepesi sana kuingia kwenye mtego wa kisiasa, hafai kuwa kiongozi

    Mkuu hata wewe unataka kutujaza upepo, Lisu na wenzake wametushika pabaya basi tu tunajifanya tuko imara. Baada ya chadema kusimamishwa kufanya siasa si unaona hata viongozi wetu wamepunguza ziara, tunakusanya nguvu ili jamaa akitoka tuanze tena kuzurura mtaani, kiukweli jamaa anatunyima...
  10. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 POTOSHI John Heche avunja ukimya: Akubali kujiunga na uchaguzi, asema “No Reforms” haina maana tena

    Mkuu japo October tuna tick.... lakini hiki ulicholeta sio mahojiano kamili😀. Umetegeshea kijikipande unachokipenda ndio unatuwekea sisi... hutufai kwenye chama chetu cha kijani
  11. B

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nini kimempata Fatma Karume?

    Ila tabia ya mtu kutoa maoni tofauti alafu wale tuliokuwa tunamwamini ndo tukawa wa kwanza kumdhihaki inaonesha ni namna gani hatuna subira. Ukihisi mtu amekwenda tofauti na ulivyomzoea, mpe muda kwanza, sio kumshutumu haraka vile. Lakini pia, sisi tunaotick October, tushajua udhaifu wenu😀...
  12. B

    JamiiForums Tanzania GE2025 Zitto Kabwe: Wasioshiriki uchaguzi watajutia uamuzi wao

    Ila kweli... Kila watu tubaki na slogan zetu. Uzuri hata wakipiga kura watu 100 inatosha, matokeo yanapatikana na mshindi anatangazwa, kwani lazima watu wote wapige kura? Tunaosema October tuna tick tunasonga mbele. (Kitakwimu tuko milioni 8) Wanaosema NrNe fresh, endeleeni na utaratibu wenu...
  13. B

    JamiiForums Tanzania Kwa Takwimu za Jumuiya , Wakatoliki wapo Milioni 24, KKKT mil 12, Madhehebu na dini nyingine sifahamu

    Mtoa mada ametahadhalisha sana tusihusianishe huu mjadala na uchaguzi. Ni kweli kwamba wapo wakatoliki na walutheri ambao ni ccm lia lia 😀. Wamebaki na misingi yao ya kiimani, lkn inapokuja inshu ya ccm, aisee watakutoa uhai😀
  14. B

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Lissu anaumwa

    NrNe haijapoa, Tumewazuia kufanya shughuli za siasa kwa muda, so tusijifariji kwamba slogan yao imepoa. Hawa jamaa wakirudi mtaani tutakonda. Kiukweli katiba na mifumo inatubeba sana, kwa hilo tusiongope...😀
  15. B

    JamiiForums Tanzania Zitto acha kudharaulisha upinzani, wapinzani sio wa kulenga kupata viti 30, 40 au 50 vya ubunge.

    Kwa kweli kutaja idadi ya chini ya majimbo inatafakarisha sana. Hii itawapa mwanya ccm kuangalia majimbo yasiyokuwa na ushawishi mkubwa kufikiria kuyaacha then wakaweka nguvu kwenye majimbo nyeti ili yasiende upinzani. Kwanini asiwaze majimbo 150 plus, kwani kukiwa na tume huru hili...
Back
Top Bottom