Recent content by Bravo10

  1. Bravo10

    Je, maji ya baraka yanayotolewa kanisani huwekwa chumvi?

    Mkuu mbona povu sana, je! Unaweza kutuambia maji ya Baraka yameandikwa katika kitabu gani kwenye bibilia labda tuanzie hapo?
  2. Bravo10

    NATAFUTA KAZI YA KUJITOLEA NAFASI YA CASHIER

    Hapana mkuu ni kwa sababu mbavu hazipumui
  3. Bravo10

    NATAFUTA KAZI YA KUJITOLEA NAFASI YA CASHIER

    Hapana Mkuu ni kitengo cha account.
  4. Bravo10

    NATAFUTA KAZI YA KUJITOLEA NAFASI YA CASHIER

    Habari za leo wakuu, natafuta sehemu ya kujitolea kazi ya Cashier. Nina Diploma ya Business Administration in Accounting na experience ya miezi sita. Natanguliza shukrani.
  5. Bravo10

    Ninauza sola, nipo Dar es Salaam

    Ngoja nikulambishe 260k mkuu
  6. Bravo10

    Natafuta Godoro ya Vitaform

    Habari wanajukua, natafuta godoro ya vitafoarm au spring mattress. Kama kuna mtu anajua haya magodoro yanauzwa wapi kwa bei nafuu anisaidie. Nipo dar. Natanguliza shukrani
  7. Bravo10

    Plot, ekari 7, yenye hati inauzwa Kibamba CCM-Dar

    Kwa hiyo mtu akihitaji eka 3 hawezi kupata
  8. Bravo10

    Kiwanja kinauzwa Mbezi juu sqm 4530

    Kuna 1M cash mkuu unasemaje
  9. Bravo10

    Joyce Kiria ameachana na mumewe?

    Mwanamke anatakiwa awe mshamba kidogo ukimwambia mama naenda mpira leo arsenal na Chelsea wanacheza, ankuuliza ooh kumbe kombe la dunia limeanza? Sio kama Joyce kila kitu yeye hadi movie ya vampire huwezi kumdanganya kitu tena anakuambia bora life tu linaniudhi nakiherehere chake.
  10. Bravo10

    Natafuta eneo Kibaha

    Yaani binadamu, wewe mwenzio anakuambia anatafuta eneo, badala ya kuweka offer yako hadharani unamwambia aku pm ndo nini sasa
  11. Bravo10

    Fursa kwa watoa huduma ya chakula

    Subiri tukavamie hapo mkuu. Ubarikiwe
Back
Top Bottom