Recent content by brave_2

  1. brave_2

    Usajili wa Yanga naona safari hii wamejaza washambuliaji wengi kuliko wakabaji

    Mkude yupo Avic Town mzeee.. Eneo la kati kati bado kwa Yanga lina watu... Azizi andabwile Aucho Muda Abuya (anaweza kucheza hiyo namba) Mkude Na Gamondi anaweza akafanya jeuri aka muanzisha Babu kaju eneo hilo😁
  2. brave_2

    Tatizo siyo Yeye kukataa Kusinya kubakia Kigamboni ila tunaogopa Akisinya tu atamaliza Fedha zote na tutarudi kutembeza Bakuli kwa Ukata utakaotukumba

    Yanga hata bila Aziz K inaweza ikaenda tu ....hata msimu ulio isha Aziz k hakuwa tegemeo kwamba akikosekana timu haito fanya vizuri
  3. brave_2

    Hivi kuna app ya NBC tanzania premier league, yenye all the stats, news, livescore ?? au watu awaoni opportunities

    Ipo hiyo inaitwa LIVEBALL nita kitanzania na ina endeshwa na watanzania.. Ina takwimu zote za ligi guu.. Na kizuri zaidi ina NBCPL FANTASY
  4. brave_2

    Nasredin Nabi nashukuru kwa kutufikisha hapa

    Niongezee hapa kidogo Nab sahizi anaumiza kichwa sana sema tu sahizi lengo la kwanza ni kufunga la pili wasi ruhusu goli Kwa nini? Yanga wameondoa magoli,kivipi? Msimu ulio pita Yanga walikuwa na Saidoo akicheza kama namba 11 alikuwa anatoa assists,kutengeneza nafasi na kufunga vile vile...
  5. brave_2

    Waziri wa Maji fuatilia bili za DAWASA, wanawaibia watu na kuwafanya wananchi wamchukie Rais

    Tatizo nikwa wale wasoma mita ,sina uhakika na hili ila zamani nilisikia nikama wanalipwa kutokana idadi ya mita wanazo zisoma
  6. brave_2

    Feitoto hana tena mahaba ya kuendelea kucheza Yanga

    Kama mwanadamu aibu nilazima iwepo na pia ukitama ile video ya mashabiki wa Yanga baada ya Mechi ya Azam waki imba kama hamtaki fei... Huja kaa sawa una sikia kauli kutoka kwa mashabiki zikisema Fei ana ihujumu timu.. Unarudi unaona kwenye timu wachezaji wenzio walivyo lichukulia swala lako...
  7. brave_2

    AIBU: Mzee Dialo unasuburi nini kuuza hivi vyombo Star TV, RFA na Kiss FM?

    Hakuna media inayo pitia hali Nzuri sahizi toka kile kipindi cha Corona Mambo hayapo sawa mpaka leo
  8. brave_2

    Bishoo wenu nje

    Ile radu haiku hitaji uwepo wa kocha wa viungo ...ile rafu niya kumvunja mtu mguu
  9. brave_2

    Diamond kaonesha msimamo sana kukataa kutumbuiza Qatar kwa bilioni 2

    Haingii akilini hii[emoji23][emoji23]yani huku mtaani anapiga show kwa m100 alafu aje akatae B2[emoji23][emoji23][emoji23]
  10. brave_2

    Kwa Ureno hii, hakika Morocco mwendo ameshaumaliza

    Morocco anaweza akamtoa ureno anaweza aka washangaza wengi...Morocco wana quality na nidhamu ya hali ya juu.. Sio jambo dogo kuzi piga timu kubwa duniani na huku akiwa ameruhusu goli 1 tu
  11. brave_2

    DOKEZO Rushwa ya ngono Chuo Cha SAUT -Tabora yakithiri

    Kama na wanafunzi hawapendi hivyo vitu wangekuwa na ushahidi, kama hawataki kuripoti basi na wao nikama wana ridhia
  12. brave_2

    Mgawanyo wa ushiriki wa kombe la dunia ukoje kila Bara?

    Shida sio kujua mpira ila tatizo ni linakuja timu za Afrika huwa hazifanyi vizuri kwenye mashindano ya WC ndiyo mana tuna nafasi hizo na ndiyo mana Ulaya wana timu nyingi kuliko bara lolote... Ikatokea mara 2 au tatu timu mbili za Afrika zika fika hatua za juu zaidi tuta ongezewa timu...
  13. brave_2

    Tukiachana na assist, ni kitu gani Chama anamzidi Fei Toto?

    Kwenye Timu yoyote na Kocha Yoyote ukiwa na Chama kwenye kikosi chake Hawezi kumweka Nje.. Na kwa kocha yoyote na timu yoyote ikiwa na FEI hawezi kumweka nje... CHAMA ndiye KIUNGO BORA kabisa kwa sasa kwa International Playo. Na FEI TOTO ndiye kiungo bora zaidi Kwa Tanzania kwa sasa hivi...
  14. brave_2

    Nauza camera Canon 4000d EOS

    500000 huchukui
Back
Top Bottom