Eratosthenes
Senior Member
- Mar 13, 2013
- 102
- 114
Wakuu, salama?
Hili suala la rushwa ya ngono imezidi chuo cha SAUT tawi la Tabora hadi kufikia mkufunzi kumuhakikishia mwanafunzi asipotoa rushwa ya ngono hatograduate!
Kibaya zaidi kiongozi wa hili suala la kupenda rushwa hii ni Dean of Student ambaye ndio kinara wa penda penda hii! Kuna haja ya mamlaka husika kuingilia kati maana sasa imezidi kwa sasa hapo chuoni.
Kuna haja ya kufanya behavioral modification miongoni mwa wakufunzi hao maana sasa kama hadi mtu anashindwa kuhitimu kisa mkufunzi analazimisha hadi apewe ngono ndo amruhusu sio vyema! This is too much aiseeee
Hili suala la rushwa ya ngono imezidi chuo cha SAUT tawi la Tabora hadi kufikia mkufunzi kumuhakikishia mwanafunzi asipotoa rushwa ya ngono hatograduate!
Kibaya zaidi kiongozi wa hili suala la kupenda rushwa hii ni Dean of Student ambaye ndio kinara wa penda penda hii! Kuna haja ya mamlaka husika kuingilia kati maana sasa imezidi kwa sasa hapo chuoni.
Kuna haja ya kufanya behavioral modification miongoni mwa wakufunzi hao maana sasa kama hadi mtu anashindwa kuhitimu kisa mkufunzi analazimisha hadi apewe ngono ndo amruhusu sio vyema! This is too much aiseeee