Recent content by Brandth

  1. B

    Benki ya Standard Chartered kuimwagia Tanzania sh. Trilioni 3.3 kujenga reli ya kisasa-SGR

    Mimi sijaelewa....Hiki kipande cha SGR Moro - Makutupora (Dodoma) kilishawekewa jiwe la msingi la kujenga mapema na Rais... sasa ina maana jiwe la msingi liliwekwa kabla ya kupata mkopo au hii ni kwa ajili ya kipande cha kutoka Dodoma - Tabora?
  2. B

    Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Kuhamishia serikali makao makuu ya nchi Dodoma
  3. B

    TANZIA: Aliyewahi kuwa mbunge wa Moshi Mjini, Mzee Philemon Ndesamburo(CHADEMA) aaga dunia

    R.I.P Kamanda wetu tutakukumbuka daima kwa mchango wa siasa za mageuzi
  4. B

    Huyu ndiye Ruge ninayemfahamu!

    Hapa mbona sijaelewa wanaanisha nini .. ni mafumbo
  5. B

    Huyu ndiye Ruge ninayemfahamu!

    Dahhh wewe ndiyo umeua kabisaaaaaaaaaa
  6. B

    RC Makonda atoa maelekezo 17 kwa Watendaji wa Sekta ya Ardhi na Ujenzi

    Yaani anatoa maelekezo kwa watendaje wa sekta ya ujenzi na ardhi wenye vyeti vya taaruma wakati yeye hana cheti ... Kaka weka vyeti kwanza mezani hayo mengine baadaye... Hivi unajisikiaje unaposikia watumishi 9+ wamefukuzwa kazi kwa kugushi vyeti wakati wewe pia umegushi na unaendelea kutoa...
  7. B

    Machinga wapinga agizo la RC Dar kuzuia uuzwaji wa Filamu za nje ya nchi, Waandamana

    Hii inaonesha wewe kumbe hua unaangalia bongo movies... mimi sina muda wa kuangalia hizi movies.. hazina mvuto kabisaaa watu wanauza sura tuu....fake kabisaaaaaa
  8. B

    Yaliyojiri bungeni - April 04, 2017: Mama Salma Kikwete aapa kuwa Mbunge, Kikwete ashangiliwa...

    Mtu atatumbuliwa leo kwa kuruhusu hiyo bunge mubashara wakati JK akishangiliwa
  9. B

    Muuguzi ahukumiwa kwenda Jela Miaka Mitatu kwa kufoji cheti cha Sekondari

    FRIDAY, MARCH 31, 2017 Muuguzi ahukumiwa kifungo cha miaka mitatu kwa kughushi cheti Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mara, imemhukumu muuguzi Irene Machagge kifungo cha miaka 3 jela au kulipa faini ya sh 600,000 baada ya kumtia hatiani kwa kughushi cheti cha elimu ya sekondari na kukitumia...
  10. B

    Jenga kiulaiini kabisa

    Bei ya viwanja ipo vipi?
  11. B

    Magazeti yapotezea Drama za Magufuli Bandarini

    Duuu hatari sana... kwani habarileo nalo ni la ccm?
  12. B

    Dereva nusra aue mtu kwa kuitwa Bashite

    Duuuuu... Wakuu pole pole jamani
  13. B

    CCM mkimwachia Rais Magufuli atakuwa kama Kagame!

    Bombadia 2 zimenunuliwa... na serikali imehamia dodoma
  14. B

    Kutoka Mahakamani: Mbunge wa Arusha Godbless Lema apata dhamana

    Hongera sana kamanda Lema....
  15. B

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Kipindi hiki Tabata Aroma Dar Es Salaam mtandao wa vodacom kenge sana... sometimes unaambiwa no network kabisa....internet ni kenge kabisa... zamani hata mechi nilikuwa naweza kustream lakini zaizi ni balaa.. sijui ni kwani nini? ukitumia line ya halotel unapata internet vizuri tuu lakini hawa...
Back
Top Bottom