Mtasema saana.. majengo wanavuajiasha maana ulivujishiwa weweee... mabinti wanajiuza maana ni dada zako malaya ndio wanaojiuzaaa, div 4 nyingii maana na wewe ni mmoja wa mlioziongeza.. lakini mimi nimesoma pale nikamaliza form 6 2011 HGL results zangu nzuriii na sasa hivi namalizia degree yangu...
Habarii zenu wanajukwaa
Samahani ninaomba kwa yoyote atakaekua na any materials on corruption especially in an aspect whistleblowing protection both international and domestic.
Much regards..
Ikumbukwe ndg Denis wairaha kabla hajawa mhazini Tanzania union.. alikua akifanya kazi NBC bank pale samora branch near Jay mall... samora avenue......... so mali zake zinaweza zikawa na skurce from his previous job at NBC ,mikopo.. bse aliacha kazi so pension na vitu kama hivyo.... ila zaidi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.