Kwa waliosoma Majengo secondary Moshi

Kwa waliosoma Majengo secondary Moshi

Doing the right thing, at the right time and at the right plece with the right person! Been there man form six class of 2001

Umenikumbusha mbali sana, huu usemi mzee wa Subaru alikuwa anaupenda sana. Bro Tom alikuwa mpole sana. Haya maneno anayasema huku unalamba viboko
 
Kwa kweli ni bonge la shule. J4 kitu ugali nyama, alhanisi Wali, pia kulikuwa na makande, full burudani. Ticha Sendoro mzee wa sofa, Mr makundi, ninja etc. Majengo sec, hongereni, ni bonge la shule
 
Nimemeliza hapo Majengo primary 1995 na secondary nimesoma hadi form two 1997 nikahamia xkul nyingine.by the way ni shule nzuri sna yenye walimu wanaojituma kwa bidii.Nawakumbuka mwl.Mkumbwa(chem),Meraba(phy),Mboka(bios),Mrs.Mosha(kisw),Sendoro(engl),Kichawele(civ),br.Tomm(maths) na wengine wengi.
 
Kiukweli maisha ya Majengo ni Kama Chuo kikuu mana mapindi kila somo room tifauti nikikumbuka ni Kama maisha tunayoishi this time university
 
Kiukweli maisha ya Majengo ni Kama Chuo kikuu mana mapindi kila somo room tifauti nikikumbuka ni Kama maisha tunayoishi this time university

Duh majengo secondary =chuo kikuu hahaha shule chafu sana
 
Mtasema saana.. majengo wanavuajiasha maana ulivujishiwa weweee... mabinti wanajiuza maana ni dada zako malaya ndio wanaojiuzaaa, div 4 nyingii maana na wewe ni mmoja wa mlioziongeza.. lakini mimi nimesoma pale nikamaliza form 6 2011 HGL results zangu nzuriii na sasa hivi namalizia degree yangu ya sheria nikiwa kati ya best students in my class
Yote haya ni kwa sababu ya Uongozi mzuri wa Bro lymo.. discipline ndio kila kitu....... maneno yake tumeyafanyia kazi na sasa tunajivuniaa... nyie mnaoiponda kwanza hamkusoma pale na kama mlisoma ndio mliokua mnajiuza na kufail.... Kama inafelisha ni sasa lakini kwa wakati wetu... big NO...
Unaesema imeporwa shule inaonyesha jinsi gani hujuiii yanayoendelea maaana mpaka leo ile shule ya msingii ipooo na inaendeleeaaaa... na tunatumia gate moja kuingia na wadogo zetu... dukani tulikua tunakunywa nao soda na mengineyoo... muachee chuki na kuongea msiyoyajuaa... eti imeporwaaaaa.... hujuii weweee.... shule ya msingi bado ipo na bado itakuepooo.... and majengo ya sekondary major ones yamejengwa na kanisa..

Mr. Makundi sitamsahau, he knows history... sijaonaaaa....
Ni hayo tu.
Viva majengo.
 
form six 2004 lago physics,kinunda maths na mosha chemistry hii shule sintakaa niisahau bro lyimo amefanya mengi sana.
 
Pamoja na kwamba wengi mnaiponda hii shule, lakini ukweli unabaki kwamba ubora wa shule ni kichwa chako!! Sisi tumesoma pale miaka hiyo ya 2000 na tukanyoosha vizuri tuu.. Uzuri ni kwamba shule hii ukiamua kuwa serious, materials + walimu wazuri wapo, ila ukiamua kuwa muuza sura ndio hivyo tena!
Nimewakumbuka sana walimu wa enzi hizo sijui kama bado wapo kina Mr. Lyatuu, Mr. Mlay, Mr. Sendoro (RIP), Mr. James, "Prof" Makundi, Miss Mkonyi, Mama Minja, Mushi B, Pedejee Kichawele.. na kuna yule mzee mpishi Mr. James.. mlinzi Mzee Ali tulikua tunamtoa shing 100 anatuacha tunaenda kula Fast Fry.. dah..
Halafu kuna wanafunzi walikuwa maarufu sana miaka ya 98 - kina Edgar Kisakisa, Ombeni, Mawenya.., sijui wako wapi ssa ivi? Na kile kiduka pale ndani cha matozi waliokuwa wanashindia "matofali" na coca mwaka mzima sijui kipo? dah..

mkuu kisakisa nia advocate na lecture pale law school
 
Back
Top Bottom