Recent content by Braibrizy

  1. Braibrizy

    JamiiForums Tanzania Vijana Wawili walio serious na kazi wanahitajika Dar es salaam

    Shukran wameshapatikana tayari🤝
  2. Braibrizy

    JamiiForums Tanzania Vijana Wawili walio serious na kazi wanahitajika Dar es salaam

    Haha hii ni popote mkuu, hata Mwanza unapiga kazi vizuri tu bila shida
  3. Braibrizy

    JamiiForums Tanzania Vijana Wawili walio serious na kazi wanahitajika Dar es salaam

    Utapishana na fursa mkuu kwa kukariri matukio, sasa mtu atapigwaje na hajaombwa hela..!?
  4. Braibrizy

    JamiiForums Tanzania Vijana Wawili walio serious na kazi wanahitajika Dar es salaam

    Wakuu habarini za wakati huu, mimi ni muajiriwa katika kampuni ya mawasiliano hapa Tanzania, ili kutimiza majukumu yangu nahitaji vijana wawili ambao nitasaidiana nao katika majukumu hayo.. Tumetengeneza simcard kwa ajili ya internet pekee zikiwa na Gb nying sana kwa gharama nafuu sana hivo...
  5. Braibrizy

    JamiiForums Tanzania Je, ni Rais gani aliyependwa kuliko wote Tanzania?

    Daah umenikumbusha nilikuw siko tayar saa mbili inikute nje na nyumban ili tu nijue mwamba kafanya nini huko barabarani..! Na mimi simtaji...!
  6. Braibrizy

    JamiiForums Tanzania Nahitaji msaada wa kisheria juu ya hii kesi

    Duh hapa sijui msaada gani wa kisheria unataka mkuu, Badilisha heading iwe 'MSAADA JINSI YA KUFANYA DENI LIPOTEE JUU KWA JUU" ila dawa ya deni ni kulipa tu
  7. Braibrizy

    JamiiForums Tanzania Laptop aina ya HP inahitajika

    Habari wakuu, title inajieleza, Spec RAM kuanzia 4Gb Hdd kuanzia 500Gb Processor 2.4 Ghz Battery iwe inakaa na charge Hata kama ni Used lakini iwe kwenye condition nzuri..! Hela iko mfuko wa shati, karibuni
  8. Braibrizy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba msaada kwa hili - Pro evolution soccer (pes)

    Habarini za wakati huu, Nmekuwa nikicheza Pes for Pc kwa muda mrefu sana lakini je ni kwanini player akiwa HOME anakuwa na nguvu, speed na accuracy sana? Kuna jamaa nikicheza nae ikiwa yeye akiwa HOME ananifunga sana bila ya mimi kupata hata goli moja na ikiwa na mimi niko HOME namfunga mogoli...
  9. Braibrizy

    JamiiForums Tanzania Mobile WIFI 4g Lte

    Inatumia line zote Ina speed ya kutosha hadi 150mbs Imetumika mwezi mmoja tu Betri inakaa na chaji sana.![ATT] Bei 80,000/= Napatikana Dar Es salaam
  10. Braibrizy

    JamiiForums Tanzania Kuitwa kwenye uptitude test TPb benk

    Ndugu zangu wana jamvi, wale tulioomba nafasi za Bank operation officers ktk benk ya Tpb majib tayar, vp kuna mtu yeyote mwenye taarifa pia..?
  11. Braibrizy

    JamiiForums Tanzania Hunger Aid Africa

    Habarini za wakati huu wana jukwaa, leo asubuhi nmetumiwa email na hawa Hunger Aid in Africa lakin wameniagiza nitafute PAR certification , Nmejaribu kufuatilia nmeona ni email ileile ambayo imekuw ikitumwa kwa watu tofaut tofaut kwa muda mref sasa, je kuna mtu ana taarifa juu ya hawa watu au ni...
  12. Braibrizy

    JamiiForums Tanzania Usaili wa TAA duu changamoto

    Kwa mara ya kwanza leo nmewashuhudia invigilators wanacheka , Co poa interview zingine unakuta addition pepa zinaaombwa hadi unashangaa bt leo, utafikir tulikuw tumepewa True or False questions wakati ilikuw ni full maelezo..! Binafsi mtihan umenitoa jasho coz nlizama sana kusom mambo ya...
  13. Braibrizy

    JamiiForums Tanzania Wale tulioomba nafasi za kazi NEC hii inatuhusu..!

Back
Top Bottom