Mimi ni mjasiriamali ambaye nataka kuanza kuuza asali ndani na nje ya nchi,nimefatilia na kupata wakulima wa asali na sasa natafuta soko la asali.Naomba kwa yeyote anayefahamu anijulishe.
nimependa sana project yako mkuu Mzuzu.naomba unitumie bussiness plan yako tushirikiane kurun hiyo project ninamfahamu jamaa mmoja anaweza kutusaidia kwa kupata mahitaji ya plant nzima.
nitumie hiyo kwa brjf_badilika@yahoo.com.
Kama unatafuta ajira zipo hapa duniani,ahera hakuna ajira yoyote.Umewaza ujinga kama watu wapumbavu.Ushauri wangu ni kwako ni kwamba mrejee muumba wako maana yeye ndiye akupae nguvu za kupata utajiri.
Habari zenu wana JF.
Nina eneo jirani kabisa na vyuo na hapo kunahuhitaji mkubwa wa vyumba vya kulala. Nina ndoto za kujenga hostel yenye uwezo wa kurudisha pesa haraka lakini changamoto niliyonayo ni ukosefu wa pesa za kutosha.
Tafadhali naomba ushauri kwa ili kwani ninashindwa nianzie wapi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.