Recent content by bozoen

  1. bozoen

    Onesha hiyo bunduki ya kapteni Ibrahimu Traore anayoweka kiunoni akiwa hapa Afrika

    Uenda alikudanganya mbona wenye mafanikio makubwa wanaamasisha kaz kwa bidii
  2. bozoen

    JamiiForums Usiku wa manane

    03:14
  3. bozoen

    Wanasema simjali mama yangu ila kiukweli sioni athari yake kwangu

    Nisamehe Sana me mwenye sio Tabia yangu ya kuwajibu wajinga wajinga kama we imekuwa mara ya kwanza na imekuwa bahati kwako uwenda ikakusaidia kubadilisha mtazamo wa akili yako mbovu
  4. bozoen

    Wanasema simjali mama yangu ila kiukweli sioni athari yake kwangu

    Una heshima yeyote mwenye heshima awezi chukulia kawahida chanzo cha heshima wew mkubwa hovyo
  5. bozoen

    Wanasema simjali mama yangu ila kiukweli sioni athari yake kwangu

    We kijana unaumri wa miaka mingap Kwanza maana ushauri unaendana na umri
  6. bozoen

    Wanasema simjali mama yangu ila kiukweli sioni athari yake kwangu

    Sio sawa Ila icho sio kipimo Cha kuchukulia mama kawahida at sekund je angeamua we usizaliwe kabsa leo ungesema ushuzi hap
  7. bozoen

    Wanasema simjali mama yangu ila kiukweli sioni athari yake kwangu

    Huru gan wa fikra wenye kuchukulia poa miujiza ya mama kwa kwanae kumweka miez tisa tumboni kumnyonyo mawiza miaka miwili na zaid Tena mfululizo sio dakk masaa sik mpaka mwenz wewe unaongelea fikra gan
  8. bozoen

    Wanasema simjali mama yangu ila kiukweli sioni athari yake kwangu

    Una uzoefu na iyo hali anayo pitia au niubutu wa akili yako kumshauri mambo usiyo weza au kuyapitia
  9. bozoen

    Kwanini Joseph Kasheku (Msukuma) anadharau wasomi?

    Wasomi wote tanzania ni vilaza wengine tu hawa wasome sindio wanakimbizana na rushwa za wamachinga na tozo ya machinga kariako uwo ndio usomi walio nao
  10. bozoen

    Kuwepo kwa hela feki nyingi mtaani

    Jana dogo wangu dukan kapewa ten kizembe sana
  11. bozoen

    Aibu kubwa kwa Taifa taa za uwanja wa Benjamini Mkapa kuzimika mechi ikiwa inaendelea

    Mtoto wa pwan m'bebeshe kapu gunia unataka kuuwa
  12. bozoen

    Mnalikumbuka jiko la stove?

    Unabei gani nikuletee
Back
Top Bottom