Nisamehe Sana me mwenye sio Tabia yangu ya kuwajibu wajinga wajinga kama we imekuwa mara ya kwanza na imekuwa bahati kwako uwenda ikakusaidia kubadilisha mtazamo wa akili yako mbovu
Huru gan wa fikra wenye kuchukulia poa miujiza ya mama kwa kwanae kumweka miez tisa tumboni kumnyonyo mawiza miaka miwili na zaid Tena mfululizo sio dakk masaa sik mpaka mwenz wewe unaongelea fikra gan
Wasomi wote tanzania ni vilaza wengine tu hawa wasome sindio wanakimbizana na rushwa za wamachinga na tozo ya machinga kariako uwo ndio usomi walio nao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.