Ni aibu sana wasanii wa 5 toka Nchi kubwa. Yenye Rais anayependwa Africa. Madini mbali mbali na vingenevyo.
Kwenda katika Mashiriki ya MTVMAMA's na kutokuumbulia kitu. Ni Aibu, tujifunza;
1. Hatukubaliki kama tunavyojikubali (hii ni Overconfidence). Tunashindwa ambiana tuki bugy. Wasanii wetu...
Na wasii waTanzania Tuache UTAHIRA wa namna hii hatutafika. Ata wewe unayo comment. Comment kwenye Jimbo lako! Upumbafu wa namna hii tuache! Tukosoane kwa Mema. Zitto yupo sawa kusema, ACHENI UTAHIRA
Aliyejiuzulu Pro-pesa LiPUMBA. kaenda stage nyingine ya UJINGA. Huu tunauita UJINGA UPOTEVU.
Njemba haina Mshipa wa Aibu, leo nmemu add kwa Type za PhD Holders
Type KUTOKUJIELEWA.
Ikiongozwa na Pro-mboga TIBAIJUKA, Dr-kutubu RUTENGWA.
Ngoja ninunue Bisi
Series imefika Patamu.
#ChekaKwaDharau
Nshatumia Tigo. Airtel. Vodacom. Halotel
Tigo: Mtandao Mbovu always. haishi siku wamekutumia SMS
Airtel: Haileweki, Mara Nzuri, Mara Mbovu
Vodacom: Bei gharama lakini huduma nzuri
Halotel: Kwa mikoani (Dodoma ndo mji mkuu, namaanisha mikoa mengine #ChekaKwaDharau) ndo inafaa, lakini all in all...
Kusema kweli vibaka wamezidi na wamezidi kweli kweli, matukio yamezidi ya kupigwa mapanga. Kuporwa simu nguo kufanyiwa vurugu. Kuna sehemu ambazo ikishafika Mida ya Saa 1 Jioni huwezi pita kama Mkwajuni Bondeni.
Wahuni wamezidi, Serikali na Polisi wamelifungia macho hili hujui jambazi huanzia...
Mi namuelewa sana JPM. Hamna haja ya kwenda UN kudiscuss. Wakimbizi. Wakati tunamatatizo yetu hapa. Na hao UN wamesaidia kukatisha zile pesa za MCC. Basically hyo meeting ni yakinafiki. Tuna marafiki wa Ukweli. China. Japan. Kenya. Rwanda. Bora uwe na cycle ndogo yakuamini. Kuliko Darasa zima la...
Ama kweli. Kusoma Engineering cyo tatizo. Tatizo ni mind set yako baada ya kumaliza. Kama unataka ukae kwa wahindi. Wachina. Watakupa Laki 4. Lakini life is very better kwa Engineering kuliko izo field nyingine. Ma Engineer wangapi wametoka tunawaona. Usikariri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.