Vibaka wamezidi Kinondoni

Vibaka wamezidi Kinondoni

Bozi11

Member
Joined
Sep 16, 2016
Posts
12
Reaction score
3
Kusema kweli vibaka wamezidi na wamezidi kweli kweli, matukio yamezidi ya kupigwa mapanga. Kuporwa simu nguo kufanyiwa vurugu. Kuna sehemu ambazo ikishafika Mida ya Saa 1 Jioni huwezi pita kama Mkwajuni Bondeni.

Wahuni wamezidi, Serikali na Polisi wamelifungia macho hili hujui jambazi huanzia chini. Fyeka mizizi ya mti na mti hauto ota kuliko kwenda kujibishana na majambazi kwa bunduki kali kali waanze na hawa wa mtaani.

POLISI WAPO. Peaceful country mtu huwezi tembea saa 1 jioni
 
Pale mkwajuni bondeni km unaeleka magomeni HV ...n hatari tupu panaogopeshana mida ya. Uciku km unatembea kwa mguu
 
Hivi Silaha,mmezomilikishwa mnazitumia kuuzia sura kwa madem kwamba nyie ni usalama wa taifa au?
Zanzibar hatumiliki Silaha kwa watu binafsi,ila vibaka wakikomaa sehem basi baadhi ya watu wanajikusanya kundi na kuenda kulianzisha mpaka wanashika adabu,unless yale makundi makubwa ndio mbakodi na nyie kundi moja kutoka upande mwingine na kwenda kufanyizia uhuni kundi la vibaka eneo husika
We piga risasi mmoja tu watatia akili,watakuwa wanaogopa kila wanaemuona
 
hv kwa nn mitaani watu watu wasifanye operesheni tokomeza vibaka,...maana asilimia kubwa tunawajua...ucku wakabaji asubuhi wanakuja kupiga debe stand na shughuli nyingine...
 
Back
Top Bottom