Watu wanateseka sana, NSSF inatesa watu jamani. Kazi huna, umezunguka kila mahali kutafuta kazi umekosa, hakuna kazi, umechoka ukaona acha nifikirie kufanya jambo lingine. Unaomba pesa zako unanyimwa, unasumbuliwa, unazungushwa,familia inateseka, watoto wanakosa shule, unakosa mwelekeo...