Ofisi za NSSF Mwanza na nyanyaso kwa wafanyakazi

mcoloo

JF-Expert Member
Jun 3, 2015
918
1,401
Haya sasa ni mateso, na sijui kama ni kwa nchi nzima au ni katika hili tawi la hapa mwanza.

Hivi inawezekana kuwa mtumishi katika sekta binafsi inapokuwa mkataba wake na mwajiri wake umekwisha na akiwa hajatiza umri wa miaka 50 au 60 ambao ndio umri wa kustaafu kwa mujibu, hatalipwa hadi afikie umri huo, na hata akibahatika kufikia huo umri, basi atalipwa 33•3℅ ya mshahara wake alio kuwa akilipwa kabla, na hiyo itakuwa hivyo kwa miaka mitano, baada ya hapo ndo atalipwa tena sio kwa asilimia zote.

Kwa kweli haya ni mateso kwa wafanyakazi, ni nani ajue kuwa uhai wa mwanadamu utakoma lini, ispokuwa ni Mungu pekee.

Na ni kwanini umnyanyase mtu kwa fedha zake alizokuwa akikatwa kwa ajili ya akiba yake ya baadaye ?

Kuna wakati nilisikia kuwa huo utaratibu ulizuiliwa na serikali au ilikuwa kiini macho ?

Na kama kweli serikali ilisitisha hili zoezi la mafao ya uzeeni, basi naomba TAKUKURU ifatilie kile kinacho endelea kwa watumishi wanaofatilia mafao yao katika ofisi za NSSF mwanza.

Haki itendeke ili hawa wastaafu waweze kulipwa mafao yao.

Na ni wazi kuwa watumishi wengi was nchi hii hutoka kwenye ajira wakiwa maskini tu , hivyo wengi hutegemea malipo hayo ili waweze kujikimu kimaisha.
 
Haya sasa ni mateso, na sijui kama ni kwa nchi nzima au ni katika hili tawi la hapa mwanza.

Hivi inawezekana kuwa mtumishi katika sekta binafsi inapokuwa mkataba wake na mwajiri wake umekwisha na akiwa hajatiza umri wa miaka 50 au 60 ambao ndio umri wa kustaafu kwa mujibu, hatalipwa hadi afikie umri huo, na hata akibahatika kufikia huo umri, basi atalipwa 33•3℅ ya mshahara wake alio kuwa akilipwa kabla, na hiyo itakuwa hivyo kwa miaka mitano, baada ya hapo ndo atalipwa tena sio kwa asilimia zote.

Kwa kweli haya ni mateso kwa wafanyakazi, ni nani ajue kuwa uhai wa mwanadamu utakoma lini, ispokuwa ni Mungu pekee.

Na ni kwanini umnyanyase mtu kwa fedha zake alizokuwa akikatwa kwa ajili ya akiba yake ya baadaye ?

Kuna wakati nilisikia kuwa huo utaratibu ulizuiliwa na serikali au ilikuwa kiini macho ?

Na kama kweli serikali ilisitisha hili zoezi la mafao ya uzeeni, basi naomba TAKUKURU ifatilie kile kinacho endelea kwa watumishi wanaofatilia mafao yao katika ofisi za NSSF mwanza.

Haki itendeke ili hawa wastaafu waweze kulipwa mafao yao.

Na ni wazi kuwa watumishi wengi was nchi hii hutoka kwenye ajira wakiwa maskini tu , hivyo wengi hutegemea malipo hayo ili waweze kujikimu kimaisha.

Kwanza hujui utaratibu wa mtu kustaafu kwa mujibu wa sheria ni miaka mingapi,.
Pili unasema kuna kipindi ulisikia kama imefutwa kumbe huna uhakika.
Pia elewa kuwa sii nssf mwanza waloweka hizo sheria.
Jitulize na ufuate taratibu utahudumiwa
 
Kwanza hujui utaratibu wa mtu kustaafu kwa mujibu wa sheria ni miaka mingapi,.
Pili unasema kuna kipindi ulisikia kama imefutwa kumbe huna uhakika.
Pia elewa kuwa sii nssf mwanza waloweka hizo sheria.
Jitulize na ufuate taratibu utahudumiwa
Duh!!!
 
Kwanza hujui utaratibu wa mtu kustaafu kwa mujibu wa sheria ni miaka mingapi,.
Pili unasema kuna kipindi ulisikia kama imefutwa kumbe huna uhakika.
Pia elewa kuwa sii nssf mwanza waloweka hizo sheria.
Jitulize na ufuate taratibu utahudumiwa
Unastahili kufanyiwa tohara ya akili kama sio kukeketwa.
 
Hili liko nchi nzima, kwamba Rais alisema amesitisha sheria ya awali hivyo unaweza kuomba pesa yako, hesabu tu hukumuelewa vizuri. Hii sheria ni mbaya haikuzingatia mazingira ya ajira za Tanzania. Serikali na Bunge letu lilitunga sheria mbaya, hata kama hio pesa imepelekwa kwenye miradi ya kimkakati. Seriakali ijue wazi kuwa watu wanaumia sana.
 
Hili liko nchi nzima, kwamba Rais alisema amesitisha sheria ya awali hivyo unaweza kuomba pesa yako, hesabu tu hukumuelewa vizuri. Hii sheria ni mbaya haikuzingatia mazingira ya ajira za Tanzania. Serikali na Bunge letu lilitunga sheria mbaya, hata kama hio pesa imepelekwa kwenye miradi ya kimkakati. Seriakali ijue wazi kuwa watu wanaumia sana.

Sjui hii tafsiri umetoa wapi.
Rais alisitisha sheria mpya, akasema ziendelee za zamani kila mfuko na utaratibu uliokuwepo,
But all is all the statement was purely politics, huwezi kuingiza siasa kwenye mambo yaliyofanyiwa utafiti wa kisayansi.
Hatutasonga mbele
 
Hapa ndio Jiwe kafeli kwa maamuzi yake ya kukurupuka na kwa taarifa yako NSSF hawana fedha wako hoi pesa zetu zimelipa wafanyakazi wa serikali waliostaafu sababu mifuko yao ndio ilikufa mwanzo ndio maana wakaleta cinema za kuunganisha.
Uchangiaji wa watumishi wa umma ni mdogo lakini mafao yao ni makubwa, sekta binafsi ndio jiwe na wenzie wametumia miaka 4 kuiua na sasa msalaba uko kwenu watu wa sekta binafsi na zamu yenu kuzisoma namba.
Hatua za kuchukua ni kwanza kumpinga jiwe chama chake na watu wake. Pili kwa kuwa wamekulostisha na hawa jamaa ni wakatili sasa na wewe chukua hatua kali utakae mbabatiza katika angle yako malizana nae hawa hata ukiandika hawana huruma na hawawezi kukuelewa.
Kabla hawajakuteka na kukufunga jiwe kwa kudai haki yako chukua hatua sasa.
Haya sasa ni mateso, na sijui kama ni kwa nchi nzima au ni katika hili tawi la hapa mwanza.

Hivi inawezekana kuwa mtumishi katika sekta binafsi inapokuwa mkataba wake na mwajiri wake umekwisha na akiwa hajatiza umri wa miaka 50 au 60 ambao ndio umri wa kustaafu kwa mujibu, hatalipwa hadi afikie umri huo, na hata akibahatika kufikia huo umri, basi atalipwa 33•3℅ ya mshahara wake alio kuwa akilipwa kabla, na hiyo itakuwa hivyo kwa miaka mitano, baada ya hapo ndo atalipwa tena sio kwa asilimia zote.

Kwa kweli haya ni mateso kwa wafanyakazi, ni nani ajue kuwa uhai wa mwanadamu utakoma lini, ispokuwa ni Mungu pekee.

Na ni kwanini umnyanyase mtu kwa fedha zake alizokuwa akikatwa kwa ajili ya akiba yake ya baadaye ?

Kuna wakati nilisikia kuwa huo utaratibu ulizuiliwa na serikali au ilikuwa kiini macho ?

Na kama kweli serikali ilisitisha hili zoezi la mafao ya uzeeni, basi naomba TAKUKURU ifatilie kile kinacho endelea kwa watumishi wanaofatilia mafao yao katika ofisi za NSSF mwanza.

Haki itendeke ili hawa wastaafu waweze kulipwa mafao yao.

Na ni wazi kuwa watumishi wengi was nchi hii hutoka kwenye ajira wakiwa maskini tu , hivyo wengi hutegemea malipo hayo ili waweze kujikimu kimaisha.
 
Back
Top Bottom