Recent content by boyayoparuparu

  1. B

    Magufuli chukua tahadhali kubwa

    Sina tatizo na mawazo yenu wote tuendelee kuamini tunavyo amini,bahati mbaya sijui umri wa ninajadiliana nao,wakati mwl nyerere akiwa rais wa nchi hii aliwahi kutuambia sio kwa bahati mbaya kuwa anashinikizwa kushusha thamani ya tsh huo nao si ufuatiliaji wa mabeberu? Kuna mambo mengi ya...
  2. B

    Magufuli chukua tahadhali kubwa

    Petrol,asante kwa kujua kama nina hoja kupanga inawezekana ni uwezo wangu mdogo,nahitaji maombi
  3. B

    Magufuli chukua tahadhali kubwa

    Isaya nehemia si kila kitu lazima uchangie,kama hujui kaa kimya,nenda kasome sera za amerika wapo wazi kabisa kwamba hawatajishughulisha na jambo lisilo na maslahi kwao,kama hakuna mkono wa mabeberu nkulunziza angekuwa hayupo asinge kuwa rais,zile fujo zina saidia sana kukuza thamani ya dola na...
  4. B

    Magufuli chukua tahadhali kubwa

    Sasa hivi hakuna biashara ya watumwa,kinachoendelea duniani ni utumwa wa kiuchumi,tunawatumikia mabwanyenye kupitia fedha,ukitaka fedha yao moja uwe na za kwetu gunia moja,hawakubali hata kidogo wakiona nchi flani fedha yake ikaikaribia thamani ya dola,endapo nchi hiyo inataka kuikaribia fedha...
  5. B

    Anakipajii anahitajii kuendelezwaa hebu cheeki

    Hicho sio kipaji ni ubunifu
  6. B

    Wanaume siku hizi wana Vitambi na Kitandani hawafanyi kitu

    Japo sikuhizi hata wahubiri wa injili wanasisitiza kumtosheleza mwanamke kingono,lakini hiyo ni nguvu ya ibilisi,tuliumbwa ili tutende mema na tuwe na kiasi
  7. B

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Akihojiwa na shirika la utangazaji la bbc,Nape Mnauye Jipu la kwanza kabisa,aliwahi kusema kuwa ccm hawtaanzisha mahakama ya mafisadi isipokuwa zitatumika mahakama zilizopo,lakini jana bwana Magufuli Mtumbua jipu amesema ataanzisha mahakama ya mafisadi na majizi, hapo utaona jinsi chama kupitia...
  8. B

    Mtumbua majipu ndani ya chama ccm,majipu mengi sana

    Endapo Mtumbua majibu ataweza kuwadhibiti wanachama wa ccm waliojiunga huko ili kulinda mali walizozipata kwa njia haramu na wale waliojiunga huko kwa lengo la kupata fulsa za kujilimbikizia mali za wizi,hapo atafanikiwa vinginevyo atashindwa vibaya,tukumbuke kuwa chama cha mapinduzi asili yake...
  9. B

    Rais Magufuli: Fedha za hafla ya Bunge zinunue vitanda Muhimbili

    Hapana hapa siasa haihitajiki hongera sana mtumbua majipu heko,hongera komaa mpaka kwenye tofauti ya mishahara
  10. B

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma 20 Nov, 2015: Hotuba ya Rais wa JMT kuzindua Bunge la 11

    Kilicho mshinda kikwete ilikuwa ni kuwashughulikia wale waliochangia yeye kuingia ikulu,mwanzo mwanzo hakujua alianza na ukali kama wa mtumbua jipu,tena akasema urais wangu hauna ubia,lakini taratibu akaanza kuelewa somo nakutaka kulipa fadhila,walipwa fadhila wakaanza kula bila woga,sasa iwapo...
  11. B

    GE2015 UKAWA ni Genge hatari kwa amani, utulivu na maslahi mapana ya Tanzania

    Ndugu yangu waheshimu sana ukawa,acha kabisa ushabiki usio na maslahi kwa taifa,ukawa wametufanya tuelewe wizi mwingi unafanywa na viongozi,angalia aliyosema magufuri mengi niyale waliyokuwa wakiyapigia kelele ukawa
  12. B

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma 20 Nov, 2015: Hotuba ya Rais wa JMT kuzindua Bunge la 11

    Wakati wa uchaguzi,sikueleweka,mimi nilisimama kama mpenda mabadiliko,wengi walinitaja kama mfuasi wa mtu,bado nasema nilisimama kama mpenda mabadiliko,mabadiliko ni zaidi ya wagombea,vyama na sera za vyama,nasema hivyo kwakuwa tumeona kikwete alipoomba kuchaguliwa,alikuwa na chama kikubwa,sera...
  13. B

    Mazingira ni viwandani na petrol stations tu?

    Tumeshudia wahusika wa mzingira wakiwawajibisha hao niliowataja, lakini kuna maeneo mengi mengine yameachwa. Kwa mfano, wilaya ya Mkuranga, Mwanambaya kijiji cha Kolangwa kilivamiwa na wafanyabiashara ya kuchimba na kuuza mchanga, kijiji baada ya muda kitageuka kuwa mahandaki, na inaaminika...
  14. B

    Watumishi wa serikali kutengewa mabilioni kwa ajili ya michezo ni aibu kwa serikali makini

    Kikubwa hapo ni kuondoa ubinafsi inakuwaje ufurahie michezo tena sio kwa watumishi wote huku wengine wanakufa kwa kukosa pesa za kuwa hudumia,
Back
Top Bottom