boyayoparuparu
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 343
- 82
Tumeshudia wahusika wa mzingira wakiwawajibisha hao niliowataja, lakini kuna maeneo mengi mengine yameachwa.
Kwa mfano, wilaya ya Mkuranga, Mwanambaya kijiji cha Kolangwa kilivamiwa na wafanyabiashara ya kuchimba na kuuza mchanga, kijiji baada ya muda kitageuka kuwa mahandaki, na inaaminika jamaa hawa wanawanunua viongozi ili wafumbe macho.
Jambo hili mwanzo sikuliamini ila sasa nakaribia kuamini, haiwezekani uharibifu ule mkubwa wa mazingira uachwe uendelee huku wahusika wamekaa kimya.
Kwa mfano, wilaya ya Mkuranga, Mwanambaya kijiji cha Kolangwa kilivamiwa na wafanyabiashara ya kuchimba na kuuza mchanga, kijiji baada ya muda kitageuka kuwa mahandaki, na inaaminika jamaa hawa wanawanunua viongozi ili wafumbe macho.
Jambo hili mwanzo sikuliamini ila sasa nakaribia kuamini, haiwezekani uharibifu ule mkubwa wa mazingira uachwe uendelee huku wahusika wamekaa kimya.