Fikiria unawapelekea Vituo binafsi vijana wenye nguvu, kisa wanahoji kuhusu matumizi ya hela ambazo ki msingi wao ndio wanazikusanya? Kituo cha private unapeleka wafanyakazi zaidi ya wawili hapo nani ananyfaidi?
Serikali inafaidikaje na hawa watumishi waliopo vituo hivi?
Unamtoa Mfamasia...
Muundo wa usimamizi wa hospital za wilaya zetu ni Dmo Ndio anachagua wajumbe wanaoweza kuunda CHMT .
Kama kuna mtu member aliyepo mle kuanzia katibu, muuguzi wa wilaya, mhasibu, mfamasia na wengineo anaamua tu kumuondoa kwa kigezo kwamba haendani na kasi yangu 😂, mara kibao tunaona baadhi ya...
Una la
Unalaptop, smartphone na bundle la uhakika? Na pesa japo ya kianzio? Kule mjini twitter kuna vijana @meltchleord, @gabyconsius, psite shayo, AMOSI nyanda, Tot tech na wengine wengiwa cheki wakukochi au pitia post zao mmoja mmoja atakayekufaa mfate inbox muombe akufunze skills moja wapo.
Ujue nilijua hili tatizo labda la kutokuelewana na mzee ni la kwangu pekee yangu.. form four nzima nimetumia uniform za washikaji,,, namaliza shule ,, matokeo hayakuwa poa sana mzazi anakwambia toka nyumbani kwangu kwani wewe sio mwanangu nenda kamuulize mama yako baba yako ni nani…..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.