Recent content by Bourgeoisie

  1. Bourgeoisie

    Baada ya miaka miwili ya sex bila kufika kilele Leo nimefika kilele cha rahaa!

    Hii ni both sides, assume mtu unakwenda kumgegeda bidada na kabla ya mgegedo anaanza kukusimulia matatizo yake, hisia za kumfikisha zitatoka wapi? Grid ya taifa inakata ghafla halafu huyo huyo anaanza kulalamika kuwa kwake kilele ni historia.....nyambaaa.......fu.
  2. Bourgeoisie

    Wanaume!! Usimpe hela mwanamke ambaye huji kumuoa!!.

    Tunawapaga tu for Goodwill...
  3. Bourgeoisie

    Baada ya kumdukua my wife wake sasa anataka kumuacha

    hahahaha, kama vile vijiti vya uzazi wa mpango eeh! 😀
  4. Bourgeoisie

    Baada ya kumdukua my wife wake sasa anataka kumuacha

    Mi nataka tu hiyo Spy app maana isiponifaa leo, itanifaa kesho. finito...
  5. Bourgeoisie

    Nyie vijisichana!

    Mkuu jipime hapa, vya kunyonga (bebe naomba vocha, MB/bando limeisha)....vya kuchinja (mama amelazwa yupi ICU, bebe, nitumie hata kiasi kidogo kumuokoa mama, mdogo wangu amefukuzwa kwa sababu ya ada, nongezee hela kidogo gesi imeisha, etc, etc,). Kwa hali hiyo unaweza wapi? Kiufupi ni kwamba...
  6. Bourgeoisie

    Bad News kwa MMU

    Hiyo itakuwa siyo "Proper jigijigi" inayopunguza uwezo wa kufikiri aisee.
  7. Bourgeoisie

    Wanaume wenzangu karibuni kwenye kikao cha dharura

    Zipo pia kama hizo wanavaa kwa chini, kwani wana dogo viumbe hawa?
  8. Bourgeoisie

    Hongera Rais kwa hili la kusitisha ujenzi wa bandari ya Bagamoyo nakuunga mkono 100%

    Mkuu, uso wako utauficha wapi maana hao unaowasifia kwa kusitisha ujenzi/mradi leo hii wanasema haukusitishwa na badala yake mchakato unaendelea; hii ni baada ya kukutana na mfano wa 'mkokoteni kuvuta farasi'. Wakati mwingine tusiosemee MUDA.
  9. Bourgeoisie

    Ebitoke ni maskini sana jamani khaaa.

    Nimeangalia avatar mara mia mia nikilinganisha 'mchambo' na ID. Aisee kuna watu wana uwezo mkubwa wa kuwabadili wanaume! Kha!
  10. Bourgeoisie

    Kuna ' Siri ' gani iliyo nyuma ya hii Mikoa ifuatayo, hadi inaongoza kwa Kutoa ' Majasusi ' wengi na mahiri nchini Tanzania?

    Ingekuwa kujipa promo, angeanza aliyetaja mikoa tajwa. Hapa tunaweka huru maoni yetu yanayotokana na uzoefu tuliopitia ili watu wakubaliane nayo au wayakatae kulingana na wigo wa uzoefu waliokuwa nao.
  11. Bourgeoisie

    Kuna ' Siri ' gani iliyo nyuma ya hii Mikoa ifuatayo, hadi inaongoza kwa Kutoa ' Majasusi ' wengi na mahiri nchini Tanzania?

    hahahahaa, mkuu mkoa wa Kagera yapo makabila mengi na si wote wamebeba sifa hiyo tajwa.
  12. Bourgeoisie

    Kwa anayejua kuyasoma majibu ya vipimo vya HIV wanisaidie hapa plz, sina amani

    Na dawa gani unanyunyizia hapo kwenye damu baada ya kuiweka kwenye kipimo?
  13. Bourgeoisie

    KUFUZU TANZANIA | CAF IMEPOTEA

    Ni wapi inapoonekana Tanzania imefuzu ikiwa ya 17 na kuendelea? Akili nyingine bhana......
Back
Top Bottom