Recent content by boss

  1. B

    Makamu wa Rais amuwakilisha Rais Magufuli kwenye mkutano kati ya nchi za Kiafrika na China, SA

    Mama Samia anaenda...mmesahau ile story ya kuokoa m700 kwa kupunguza maafisa wa safari? Ndio hii imefuka sasa
  2. B

    Lowassa Ni Aje?

    Mbona kila mtu katoa wakala mkuu au hukufuatilia mpaka mwisho.
  3. B

    Nani Katoa Speech ya Maana Kati ya Hawa Wa-CCM???

    Hata hawakuhitajika kuongea manake tunawajua vizuri tu. Tuchukulie ilikuwa salamu kwa wanachama.
  4. B

    Huu ndio ukweli mtupu

    Inaeleweka vizuri sana tu mbona. Uzi umeandikwa kitaalamu
  5. B

    Kuomba pasipoti mpya (passport renewal) kupitia ubalozi wa Tanzania nchini Malaysia

    Ndugu nenda pale ubalozini onana na ofisa mhusika arakupatia fomu za kujaza kama kawaida kusha watakusaidia kuituma immigration bongo. Gharama yake haizidi 100 usd. Na huwa inachukua kama mwezi mmoja. We nenda tu wala usipate hofu manake niliwahi kuomba pia na mambo yalikuwa marahisi sana tu
  6. B

    Njia rahisi ya kuburn fat! kwa wenye vitambi!

    Aah ukiona kichwa cha habari basi kina mvuto kweli lakini habari yenyewe imenivunja mbavu.
  7. B

    nauza hii computer

    Desktop ina kazi zake haswa mambo ya graphics. Laptop zina limitation nyingi sana labda uwe mtumiaji wa kawaida tu.
  8. B

    uvumilivu ulimshinda sasa kilio akibwaga kwangu.nifanyeje?

    Mgonjwa huyo...kaa naye mbali.
  9. B

    FIB Tanzania (special forces in Congo) yaichukua ngome kuu ya M23!

    kazi nzuri makamanda wetu endeleeni na kazi kama mlivyoianza.
  10. B

    Sera kuu ya CCM ni Dar kwanza, Hongera wamakonde wa Mtwara!!

    Badilisha title yako mkuu.
  11. B

    Umemsikia Robert Mugabe!?

    Mugabe kwa majibu tu ananipa raha. Kawajua wazungu na hila zao siku nyingi sasa akiwaambia ukweli wanakasirika.
  12. B

    Azzan: Nitajiuzulu ikibainika nauza dawa za kulevya

    Kujiuzulu kitu gani, kwanini usishitakiwe kwa mujibu wa sheria. Wanasiasa wamekuwa majanga tu siku hizi.
  13. B

    Reginald Mengi on Nape: Muache Mungu afanye Kazi Yake

    Huyo ndo msemaji wa chama anatokwa na maneno tu bila mpangilio.
Back
Top Bottom