Recent content by Borndi

  1. Borndi

    Biashara ya viatu vya mtumba

    Kwanza nimejifunza vitu vingi nilivyokuwa sivijui...na nibaada ya kukosa ushauri sahihi...nikaenda nikapata asara nikawa nimejifunza... Ngoja nikudokezee.. Kama unaaza biashara au Kama unatembe mijini ukakuta watu wameanga viatu vizuri, achana na masokoni nasemea mitahani... Hao watu awanunui...
  2. Borndi

    Biashara ya viatu vya mtumba

    Nilifanaya Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Borndi

    Visa vinavyoudhi high Schools (Advance)

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Borndi

    Nikikumbuka hii kauli huwa naumia sana

    Nyingine hii Nilianza na mtaji wa elf 7.... Saivi nina nyumba 2 south African...na biashara zangu uchini..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Borndi

    CoViD-19: Siku 30 zijazo ndo muhimu zaidi kujitahadhari, angalia hili jedwali hapa

    Dawa pekee ya CORONA. TULIA NYUMBANI NA WATOTO WAKO...UWEZI KUTANA NA HUU UGONJWA... KUWA NA SAFARI ZA LAZMA TU... Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Borndi

    Kufanya mazoezi ni kupoteza nguvu bure

    [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kibaya zaidi unakuta mtu anakimbia Kama ivyo lkn anakunywa chai na andazi mbili... Mm nilianzaga kufanya zoezi badae nikoana Nina lishe duni nikaachana nayo... Nakuunga mkono.. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Borndi

    Naomba kujua namna ya kufanya ili kufananisha tarehe ya kuzaliwa kati ya mzazi na mtoto

    Lak akaangukia japo mwezi uleule Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Borndi

    Naomba kujua namna ya kufanya ili kufananisha tarehe ya kuzaliwa kati ya mzazi na mtoto

    Kwel boss!?? Asante Sana.. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Borndi

    Naomba kujua namna ya kufanya ili kufananisha tarehe ya kuzaliwa kati ya mzazi na mtoto

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sayansi imekuwa kubwa saana sikuizi....ndo maana nikajiuliza anawezekanaje? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Borndi

    Naomba kujua namna ya kufanya ili kufananisha tarehe ya kuzaliwa kati ya mzazi na mtoto

    Umetisha mzazi....lakini ipo kibiologia kbxaaa... Mfano diamond platinamuz mtoto wake na tanasha Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Borndi

    Naomba kujua namna ya kufanya ili kufananisha tarehe ya kuzaliwa kati ya mzazi na mtoto

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ailete radha boss... Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Borndi

    Naomba kujua namna ya kufanya ili kufananisha tarehe ya kuzaliwa kati ya mzazi na mtoto

    Hi ipo kibiologia kabxaaa....ndo maana nikataka kujua inakuwaje Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Borndi

    Naomba kujua namna ya kufanya ili kufananisha tarehe ya kuzaliwa kati ya mzazi na mtoto

    Wana jamvi naomba kusaidiwa namna nanivyoweza kufananisha tarehee yangu ya kuzaliwa na mtoto ninaetamani kumpta. Kama nimezaliwa tarehee 1-1- Basi na mwanagu azaliwe same na baba au Mama.. Asante Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Borndi

    Must see Movies

    Nisaidie Movie za KUTISHA Sio mazombe lakini, movie fulni usiku maovyo ovyoo Pia Movie Fulani ivi watu wanaeda somewhere kutafuta vitu vya thamani afu kinacho wakuta Msiba[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji41] nazitamani saana Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom