CDM sasa ni muda0 wa kutumia plan B tayari wameshaelema,mtego walioutega umegoma kufanya kazi, watasema kila kitu wakiamini Watanzania watawawaelewa,tujiulize tu hatakama ni kweli mtu kakubali kulipa nauli yake toka USA hadi Dudai wewe unaumia nini? Je akijitokmeza mke au mume na kuthibitisha...