Ni kweli wengi wamejitokeza kulaani utekeaji na mauaji lakini tamko la Gwajima kwa kiwango kikubwa limewapiga kwenye mshono kiasi cha Mkuu wa nchi kutoa kauli. Na kupitia kauli ya Mkuu wa nchi, ndiyo tunatengeneza kauli mbiu ya T-Shirt yetu ili kumuonyesha kwamba tamko la Gwajima ni kauli ya...
Wakuu Salaam,
Nchi yetu kwa hakika inapitia njia na kipindi cha mseleleko kuelekea kwenye giza totoro. Kwa kila raia ambaye bado ana nuru ya kung’amua yanayoendelea, shime afanye lililo ndani ya uwezo wake kukataa mseleleko huu wa kulekeza nchi gizani.
Nakusudia kuchapicha T-shirts zenye nembo...
Yeyote aliye makini atakaposoma andiko langu, halafu akapitia maoni yako, haraka sana anang'amua kuwa tunaishi dunia mbili tofauti na vilevile uwezo wetu kifikra na katika kuanisha mambo unatofautiana mbali mno. Jaribu kusoma upya nilichoandika na jipe muda wa kutafakari kabla hujaandika maoni yako.
Kwa dhati nampongeza Rais Dk. Magufuli kwa uamuzi wa Serikali yake kutimiza ndoto ya Taifa kuhamishia makao makuu Dodoma. Pamoja na pongezi hizi, kuna jambo moja nimeshtukia linakinzana na kaulimbiu na jitihada za Rais kupunguza matumizi ya taaasisi za umma hasa kwenye mambo kama posho za safari...
Published: 14 October 2016 ID: G00317560
Analyst(s): David W. Cearley | Mike J. Walker | Brian Burke
Order Reprints
You may request paper or digital reprints on the ensuing order form.
Summary
Gartner's top 10 trends will drive the future of the intelligent digital mesh. Enterprise...
Mpendwa Dada mwenye picha zifuatazo hapo chini,
Nimeokotoa flash mobile yako ikiwa na vitu mbalimbali lakini vikiwa havionyeshi utambulisho wala njia yoyote ya mawasiliano. Nimetumia signature ya doc mojawapo ambayo imesainiwa kama "Tuty wa Pwani" kukutafuta.
Usomapo au ufahamishwapo juu ya...
Kampuni yetu inayojishughulisha na utengenezaji wa vinywaji vikali na wines inazo nafasi za kazi zilivyotajwa hapo juu katika mkoa wa Dar es Salaam, Mwanza, Arusha, Moshi na Shinyanga, Simiyu na Geita.
Tunakaribisha maombi kutoka kwa watu wenye sifa zifuatazo:
Ubunifu wa mikakati ya kutafuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.