Mkuu kwenye fero ukweli ni kwamba inakuwa ni kama unabeti vile na uhakika wa kupoteza ela yako ni mkubwa maana wachimbaji nao Wana mambo yao mengi sana, ni mpaka uwe na uzoefu na wachimbaji wa muda na mliozoeana saana ndo unaweza kuipata fero mali, pia hizo fero kama zinasoma vizuri kweny udongo...
Ninaamini kwenye kujaribu sana, Iko hivi kwanza lazima tujue uko maeneo gani lakini pia lazima uwe na lesseni ya u broker ili usipate usumbufu kwenye kazi yako, kingine lazima uwe na maneo au sehemu ambapo unaweza kupata hiyo dhahabu variation ya bei huwa inabadilika pia kikubwa lazima uwe field...
Tatizo mnashauri Wakati jamaaa mwenyewe nae inaonekana ana shida zake tu kichwani halafu pia mazoea ya kijinga, Linapokuja Suala la familia mwanaume lazima uwe na akili nzuri na maamuzi ya busara, yaani kweli nitoke dispensary na mwanangu badala ya kwenda nyumbani niende kwa mchepuko ili iweje...
Watu Wana utoto sana Kuna dili zinapigwa halafu watu wanakaaa kmya wala hakuna kelele yaani jamaaa anaombwa ela tena akiwa kazin, hajawahi kukutana na chaka linataka utoe ela kwanza ndo utimbe kazin tena ela ya maana na wakati huna uhakika hata na hyo kazi
Pole sana mkuu ila ukweli ni kwamba wabongo wengi ni washamba na matapeli sana hasa kwenye biashara za umbali na Tayari ulishafanya makosa kutuma hela na pia kwenye biashara usiwahi kumwamini mtu japo wapo watu wachache sana wazuri ila kwa maelezo yako tu huyo ni tapeli hyo ela umepigwa mzeee
Sema mbowe ni kichwa sana, hii mbinu ya kutumia jeshi letu kwenye siku za maandamano nayo ni ya kipuuzi na ushamba, Laiti ningekuwa mbowe ningewapiga surprise mpaka washangae yaani wengejua hawajui
Kwan kati ya Ccm na CDM nani anashida na kwa nini ccm wao wawafanye watu kama wajinga, unapoita maridhiano lazima hoja za kila pande zitiliwe mkazo kati ya vitu 10 basi unaweza kutekeleza hata 3 au 4 ili kuleta Imani kwa wananchi na pia wapinzani wako Sasa je ccm ametekeleza nini kati ya hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.