Dunia haiko Ivo unavyowaza mtoa mada, mabadiliko yanakuja na gharama zake kilichotokea kinaweza kuja kujirudia tena na tena na tena, kikubwa kuwepo na ukweli ,uwazi uwajibikaji, uhuru na serikali ijue nchi ya Tanzania ni ya wote siyo wao. bila watu ndani ya nchi huna nchi
Pamoja na yote ila Tiss kama moyo wa taifa hili inahitaji reform kubwa sana , tena zaidi ya sana kuna vitu vinatokea mpaka unajiuliza Ivi jambo kama hili linawezekanaje kama kweli una idara na watu smart , dunia iko mbali sana Tiss badiliken pia
Q
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.