Recent content by boomgate

  1. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilitembelea Buguruni Kimboka weekend. Hali inatisha

    Kazi sana
  2. B

    JamiiForums Tanzania Tamthiliya ya Juakali isipoisha kwa funzo kuu, basi mwandaaji asipewe tena jukwaa kama lile kueneza upotovu

    Iv bado kumbe watu wana muda na utapeli wa hapa bongo kwenye mambo ya saana, pale hakuna kitu ni vile basi
  3. B

    JamiiForums Tanzania Kujadiliana na mhaini ni hatari sana, hata Hayati Nyerere atatununia

    Umeongee wewe ila sijaona wametaja hao wahain we nae una shida ama utakuwa unawakejeli serikali yako
  4. B

    JamiiForums Tanzania Baada ya maafa ya maandamano ya MO29, sidhani kama watanzania wana nguvu ya kuandamana tena kwa miaka 20 ijayo, watu wanaogopa sana maandamano

    Dunia haiko Ivo unavyowaza mtoa mada, mabadiliko yanakuja na gharama zake kilichotokea kinaweza kuja kujirudia tena na tena na tena, kikubwa kuwepo na ukweli ,uwazi uwajibikaji, uhuru na serikali ijue nchi ya Tanzania ni ya wote siyo wao. bila watu ndani ya nchi huna nchi
  5. B

    JamiiForums Tanzania Wakati Taasisi za Intelejensia Kenya, Marekani na Uingereza zikijikita kuyaimarisha Mataifa yao kiuchumi, huku TISS inapambana CCM ibaki madarakani

    Pamoja na yote ila Tiss kama moyo wa taifa hili inahitaji reform kubwa sana , tena zaidi ya sana kuna vitu vinatokea mpaka unajiuliza Ivi jambo kama hili linawezekanaje kama kweli una idara na watu smart , dunia iko mbali sana Tiss badiliken pia Q
  6. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tanzania kutumia takribani Sh. Bilioni 2.7 kukodi Kampuni ya Marekani ili ‘Kurekebisha Taswira ya Nchi’ baada ya Mgogoro wa Uchaguzi

    Hii nchi ina watu wajinga sana sijui watu wanaenda shule kufanya nin
  7. B

    JamiiForums Tanzania Madai ya Trump kuwa "Venezuela Ilituibia Mafuta" Yana Mashiko?

    Pamoja na yote na hujuma ila najua hawezi vamia directly pale Venezuela china na Russia wanaweza kuwepo hapo hilo nalo ni tatizo jipya kwa america
  8. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada wakuu! Nimekuwa mtu wa kimoja chali nifanyeje?

    Umri wako boss na kazi anazofanya ni zipi hasa na je vip vyakula unavyotumia
  9. B

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Homa ya D9: Vyombo vya ulinzi (JWTZ, polisi, jeshi la magereza n.k.) kufanya usafi nchi nzima kuanzia Disemba 7

    Tuende hivi hivi hata na wao wapate kazi za kufanya maana hawana kazi
  10. B

    JamiiForums Tanzania Kwa kauli hizi za jeshi la polisi, basi tarehe 9 kazi tunayo

    Hiii nchi bwana
  11. B

    JamiiForums Tanzania Doria za Ndege za kijeshi katika maeneo mbalimbali nchini kulikoni?

    Sasa kama jeshi halina mission, hawana kazi na majukumu ya msingi unategemea nini, ukute leo ndio mara ya kwanza hata huyo rubani kurusha ndege hewan toka amekuwa jeshini, upuuzi tu
Back
Top Bottom