Recent content by boomgate

  1. B

    Msaada kama naweza kununua dhahabu iliyochomwa

    Mkuu kwenye fero ukweli ni kwamba inakuwa ni kama unabeti vile na uhakika wa kupoteza ela yako ni mkubwa maana wachimbaji nao Wana mambo yao mengi sana, ni mpaka uwe na uzoefu na wachimbaji wa muda na mliozoeana saana ndo unaweza kuipata fero mali, pia hizo fero kama zinasoma vizuri kweny udongo...
  2. B

    Msaada kama naweza kununua dhahabu iliyochomwa

    Ninaamini kwenye kujaribu sana, Iko hivi kwanza lazima tujue uko maeneo gani lakini pia lazima uwe na lesseni ya u broker ili usipate usumbufu kwenye kazi yako, kingine lazima uwe na maneo au sehemu ambapo unaweza kupata hiyo dhahabu variation ya bei huwa inabadilika pia kikubwa lazima uwe field...
  3. B

    Kuna sehemu hatari kuishi kama South Africa?

    Nchi imevurugwa ile
  4. B

    Kuna wanawake Wana roho mbaya, aibu hawana na kujificha hawawezi

    Tatizo mnashauri Wakati jamaaa mwenyewe nae inaonekana ana shida zake tu kichwani halafu pia mazoea ya kijinga, Linapokuja Suala la familia mwanaume lazima uwe na akili nzuri na maamuzi ya busara, yaani kweli nitoke dispensary na mwanangu badala ya kwenda nyumbani niende kwa mchepuko ili iweje...
  5. B

    Shikamoo biashara

    Mkuu million mia tatu kweny biashara au madini ? Maana huko ndo unaweka ela inapotea tu
  6. B

    Kwa Laki 5 naweza nikafungua Maabara?

    Maaabara bila ya kuwa na darubini cjui unatoboaje yani na hyo si maaabara na pia hizo rapid test haziwezi kukulipa jipange tena
  7. B

    Jamaa yangu ananitesa kisa alinitafutia kazi, ni haki?

    Watu Wana utoto sana Kuna dili zinapigwa halafu watu wanakaaa kmya wala hakuna kelele yaani jamaaa anaombwa ela tena akiwa kazin, hajawahi kukutana na chaka linataka utoe ela kwanza ndo utimbe kazin tena ela ya maana na wakati huna uhakika hata na hyo kazi
  8. B

    Naomba ushauri kwenye sakata hili

    Pole sana mkuu ila ukweli ni kwamba wabongo wengi ni washamba na matapeli sana hasa kwenye biashara za umbali na Tayari ulishafanya makosa kutuma hela na pia kwenye biashara usiwahi kumwamini mtu japo wapo watu wachache sana wazuri ila kwa maelezo yako tu huyo ni tapeli hyo ela umepigwa mzeee
  9. B

    Kwanini CCM inalazimisha kuingiza Jeshi la Tanzania (JWTZ) kwenye Siasa? Je, inalipa? Chonde Chonde Rais Samia

    Sema mbowe ni kichwa sana, hii mbinu ya kutumia jeshi letu kwenye siku za maandamano nayo ni ya kipuuzi na ushamba, Laiti ningekuwa mbowe ningewapiga surprise mpaka washangae yaani wengejua hawajui
  10. B

    Freeman Mbowe kuona ni kuamini, achana na siasa za mkia wa mbuzi, jeuri na kiburi sio mtaji kuelekea uchaguzi 2024/2025

    Kwan kati ya Ccm na CDM nani anashida na kwa nini ccm wao wawafanye watu kama wajinga, unapoita maridhiano lazima hoja za kila pande zitiliwe mkazo kati ya vitu 10 basi unaweza kutekeleza hata 3 au 4 ili kuleta Imani kwa wananchi na pia wapinzani wako Sasa je ccm ametekeleza nini kati ya hayo...
Back
Top Bottom