Recent content by boomgate

  1. B

    Kujadiliana na mhaini ni hatari sana, hata Hayati Nyerere atatununia

    Umeongee wewe ila sijaona wametaja hao wahain we nae una shida ama utakuwa unawakejeli serikali yako
  2. B

    Baada ya maafa ya maandamano ya MO29, sidhani kama watanzania wana nguvu ya kuandamana tena kwa miaka 20 ijayo, watu wanaogopa sana maandamano

    Dunia haiko Ivo unavyowaza mtoa mada, mabadiliko yanakuja na gharama zake kilichotokea kinaweza kuja kujirudia tena na tena na tena, kikubwa kuwepo na ukweli ,uwazi uwajibikaji, uhuru na serikali ijue nchi ya Tanzania ni ya wote siyo wao. bila watu ndani ya nchi huna nchi
  3. B

    Wakati Taasisi za Intelejensia Kenya, Marekani na Uingereza zikijikita kuyaimarisha Mataifa yao kiuchumi, huku TISS inapambana CCM ibaki madarakani

    Pamoja na yote ila Tiss kama moyo wa taifa hili inahitaji reform kubwa sana , tena zaidi ya sana kuna vitu vinatokea mpaka unajiuliza Ivi jambo kama hili linawezekanaje kama kweli una idara na watu smart , dunia iko mbali sana Tiss badiliken pia Q
  4. B

    Madai ya Trump kuwa "Venezuela Ilituibia Mafuta" Yana Mashiko?

    Pamoja na yote na hujuma ila najua hawezi vamia directly pale Venezuela china na Russia wanaweza kuwepo hapo hilo nalo ni tatizo jipya kwa america
  5. B

    Msaada wakuu! Nimekuwa mtu wa kimoja chali nifanyeje?

    Umri wako boss na kazi anazofanya ni zipi hasa na je vip vyakula unavyotumia
  6. B

    Tetesi: Homa ya D9: Vyombo vya ulinzi (JWTZ, polisi, jeshi la magereza n.k.) kufanya usafi nchi nzima kuanzia Disemba 7

    Tuende hivi hivi hata na wao wapate kazi za kufanya maana hawana kazi
  7. B

    Doria za Ndege za kijeshi katika maeneo mbalimbali nchini kulikoni?

    Sasa kama jeshi halina mission, hawana kazi na majukumu ya msingi unategemea nini, ukute leo ndio mara ya kwanza hata huyo rubani kurusha ndege hewan toka amekuwa jeshini, upuuzi tu
  8. B

    Siri ilyiojificha nyuma ya nafasi ya Kenya katika kuchochea machafuko nchini Tanzania chini ya kishawishi cha kupigania demokrasia

    Pumba tu unaandika, maliza shida na matatizo yenu kama nchi siyo kusingizia watu, washenzi nyie
  9. B

    PostGE2025 Si sahihi Bunge la Ulaya kusitisha misaada nchi ya Tanzania, mapendekezo hayo yanafaa kupingwa kwa nguvu zote

    Kuwajibika hamtaki ila misaada yao mnaitaka na bado mnasema nyie ni nchi huru kwa kila kitu, ebu kila mtu ashinde mechi zake aiseee
Back
Top Bottom