Recent content by boomgate

  1. B

    JamiiForums Tanzania Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya tatu

    Asante kwa elimu yako
  2. B

    JamiiForums Tanzania Matumizi ya chumvi ya mawe

    Dunia hii
  3. B

    JamiiForums Tanzania Vyombo Vya Dola Visivumilie Tabia ya Mwanasiasa Mmoja Kujipa uhuru wa Kuzunguka Nchi Nzima kueneza chuki, Uchochezi na uchonganishi dhidi ya serikali

    Ushamba tu kama anaeneza chuki na ushaidi mnao si mwende mahakamani sasa
  4. B

    JamiiForums Tanzania HOFU YA MAANDAMANO 7/7: CCM na Serikali watia mpira kwapani. Hamasa na maelfu ya wananchi wanaohudhuria mikutano ya CHADEMA, yawatia hofu kuu

    Hahaha ushauri wa moto sana huu na ccm watajuta kama kweli chadema itafanya ivo na utakuwa mwanzo wa kitu kingine kipya ndani ya nchi hiii
  5. B

    JamiiForums Tanzania Kimasihara masihara nikajikuta kwenye mahusiano na mwanamke mtu mzima

    Story ya kutunga hii kama movie tu yani
  6. B

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Uzi pendwa huu
  7. B

    JamiiForums Tanzania Kuzuru kwa Rais Samia Kremlin, kubadili Siasa, vyama vya siasa, Uchumi, Ulinzi na Usalama

    Andiko bovu kuwahi kuandikwa
  8. B

    JamiiForums Tanzania Nilitembelea Buguruni Kimboka weekend. Hali inatisha

    Kazi sana
  9. B

    JamiiForums Tanzania Tamthiliya ya Juakali isipoisha kwa funzo kuu, basi mwandaaji asipewe tena jukwaa kama lile kueneza upotovu

    Iv bado kumbe watu wana muda na utapeli wa hapa bongo kwenye mambo ya saana, pale hakuna kitu ni vile basi
  10. B

    JamiiForums Tanzania Kujadiliana na mhaini ni hatari sana, hata Hayati Nyerere atatununia

    Umeongee wewe ila sijaona wametaja hao wahain we nae una shida ama utakuwa unawakejeli serikali yako
  11. B

    JamiiForums Tanzania Baada ya maafa ya maandamano ya MO29, sidhani kama watanzania wana nguvu ya kuandamana tena kwa miaka 20 ijayo, watu wanaogopa sana maandamano

    Dunia haiko Ivo unavyowaza mtoa mada, mabadiliko yanakuja na gharama zake kilichotokea kinaweza kuja kujirudia tena na tena na tena, kikubwa kuwepo na ukweli ,uwazi uwajibikaji, uhuru na serikali ijue nchi ya Tanzania ni ya wote siyo wao. bila watu ndani ya nchi huna nchi
  12. B

    JamiiForums Tanzania Wakati Taasisi za Intelejensia Kenya, Marekani na Uingereza zikijikita kuyaimarisha Mataifa yao kiuchumi, huku TISS inapambana CCM ibaki madarakani

    Pamoja na yote ila Tiss kama moyo wa taifa hili inahitaji reform kubwa sana , tena zaidi ya sana kuna vitu vinatokea mpaka unajiuliza Ivi jambo kama hili linawezekanaje kama kweli una idara na watu smart , dunia iko mbali sana Tiss badiliken pia Q
  13. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tanzania kutumia takribani Sh. Bilioni 2.7 kukodi Kampuni ya Marekani ili ‘Kurekebisha Taswira ya Nchi’ baada ya Mgogoro wa Uchaguzi

    Hii nchi ina watu wajinga sana sijui watu wanaenda shule kufanya nin
Back
Top Bottom