Recent content by Bonson

  1. Bonson

    Rais saidia Mwanza MWAUWASA maji kutoka TZS 700 hadi 1220TZ kwa unit moja

    Nimepokea bill ya MAJI nikashindwa kuamini macho yangu... toka kulipia elfu 50/60 hadi 100,000+!! This is too much. Serikali fatilieni huu unyonyaji.
  2. Bonson

    Rais Magufuli aamuru Kikokotoo kilichokuwa kinatumiwa awali kiendelee hadi 2023 (kulingana na mfuko husika)

    Mheshimiwa Rais wetu; Mimi ni moja kati ya Watanzania wengi tunaounga mkono jitihada zako za kuleta mabadiliko Tanzania. Nakupongeza kwa ujasiri, kutomwonea mtu aibu, kuthubutu, na kukiri hadharani kwamba Tanzania haina sababu ya kuendelea kuwa masikini... bravooo!! Kwa upande mwingine, naona...
  3. Bonson

    Uchomaji takataka katika hospitali ya Sekou Toure - Mwanza ni hatarishi

    Ndugu wana FJ, Naandika uzi huu ili uweze kumfikia Mkurugenzi wa Hospitali ya Mkoa wa Mwanza au Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza na wadau wote wa utunzaji wa mazingira. Siku chache zilizopita nilikwenda katika hospitali ya Mkoa kuchukua mwili wa ndugu yangu aliyefariki baada ya kuugua stroke...
  4. Bonson

    UCHOMAJI WA TAKATAKA ZA HOSPITALI YA "SEKOU TOURE" - MWANZA, NI HATARISHI

    Ndugu wana FJ, Naandika uzi huu ili uweze kumfikia Mkurugenzi wa Hospitali ya Mkoa wa Mwanza au Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza. Siku chache zilizopita nilikwenda katika hospitali ya Mkoa kuchukua mwili wa ndugu yangu aliyefariki baada ya kuugua stroke. Jambo lililonishangaza ni kuona sehemu ya...
  5. Bonson

    CHADEMA hamna njia nyingine ya kujitetea zaidi ya kususia?

    Nimekuelewa vizuri ndugu yangu; lakini watasusa mangapi? Huoni kususa kwao kunakipa chama tawala ulingo usio na mpinzani???!!!
  6. Bonson

    CHADEMA hamna njia nyingine ya kujitetea zaidi ya kususia?

    Huwezi shinda vita kwa kukimbia vita
  7. Bonson

    CHADEMA hamna njia nyingine ya kujitetea zaidi ya kususia?

    Njia iliyo ni CDM kusimama na kupambana. Hakuna Team inayopata ushindi kwa KUSUSIA MECHI. No afadhali kufungwa kuliko kususa mechi.
  8. Bonson

    CHADEMA hamna njia nyingine ya kujitetea zaidi ya kususia?

    Hawajui wanazidi kujifuta wenyewe kwenye mioyo ya waTZ.
  9. Bonson

    CHADEMA hamna njia nyingine ya kujitetea zaidi ya kususia?

    Lakini lazima tujiulize, watasusia mangapi?? Otherwise hawana maana ya kuwepo kama chama cha UPINZANI. Huwezi susia KILA MECHI halafu utarajie ushindi.
  10. Bonson

    CHADEMA hamna njia nyingine ya kujitetea zaidi ya kususia?

    Amani iwe nasi. Nimekua nikifatilia jinsi uongozi wa CHADEMA unavyojibu hoja au vitendo wanavyodhani wameonewa. Mara nyingi KIONGOZI MKUU amekua akiwataka WASUSE. Walisusa mchakato wa katiba, walisusa vikao vya bunge chini ya Naibu Spika, wamesusa uchaguzi wa juzi wa madiwani, na sasa...
  11. Bonson

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Ndugu wana JF, Kwa moyo uliojaa simanzi napenda kuwauliza viongozi wetu wastaafu (Maraisi, Mawaziri, Wabunge, Makatibu), JE, MUSTAKABALI WA TAIFA LETU BADO UNAWAHUSU? Ni kweli kwamba uongozi wa AWAMU YA 5 unajitahidi kufanya mengi mazuri na yanayostahili pongezi. Hata hivyo, naona MISINGI YA...
  12. Bonson

    Jiji la Mwanza litakuwa kama Singapore

    Singapore ndio mji/nchi safi duniani. Huruhusiwi hata kutema mate hovyo. wewe kama ni mla ugoro usiende Singapore na usije Mwanza! Labda uwe na 50,000/=
  13. Bonson

    Imekuwaje magari haya yakafanana 'plate number'?

    Hii ni shida kubwa!! Waziri wa Mambo ya Ndani Combredi Mwigulu fuatilia jambo hili kwa haraka!!
  14. Bonson

    Jiji la Mwanza litakuwa kama Singapore

    Ndugu wana JF, Kwa mikakati aliyonayo Mkrugenzi wa Jiji la Mwanza, anasema baada ya muda mfupi litakua kama Singapore. Kazi inayoendelea sasa ni ujenzi wa barabara za mitaa mbalimbali, mfano barabara ya Isamilo - Mjimwema imejengwa kwa kiwango cha lami na kufungwa taa za barabarani za Solar...
  15. Bonson

    Baada ya Serikali kusema ipo tayari kulipia matibabu ya Lissu; Peter Msigwa, Godbless Lema na Mbowe wakosoa kauli hiyo

    Ndugu yangu, Faru John yeye ni mnyama tu. Kweli Serikali yetu inapaswa kufanya kitu cha haraka kisicho na masharti ya kisiasa ili Lissu asaidike. CDM nao wanaligeuza hili jambo limekuwa 100% politics.
Back
Top Bottom