Mheshimiwa Rais wetu;
Mimi ni moja kati ya Watanzania wengi tunaounga mkono jitihada zako za kuleta mabadiliko Tanzania. Nakupongeza kwa ujasiri, kutomwonea mtu aibu, kuthubutu, na kukiri hadharani kwamba Tanzania haina sababu ya kuendelea kuwa masikini... bravooo!!
Kwa upande mwingine, naona...
Ndugu wana FJ,
Naandika uzi huu ili uweze kumfikia Mkurugenzi wa Hospitali ya Mkoa wa Mwanza au Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza na wadau wote wa utunzaji wa mazingira.
Siku chache zilizopita nilikwenda katika hospitali ya Mkoa kuchukua mwili wa ndugu yangu aliyefariki baada ya kuugua stroke...
Ndugu wana FJ,
Naandika uzi huu ili uweze kumfikia Mkurugenzi wa Hospitali ya Mkoa wa Mwanza au Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza.
Siku chache zilizopita nilikwenda katika hospitali ya Mkoa kuchukua mwili wa ndugu yangu aliyefariki baada ya kuugua stroke. Jambo lililonishangaza ni kuona sehemu ya...
Lakini lazima tujiulize, watasusia mangapi?? Otherwise hawana maana ya kuwepo kama chama cha UPINZANI. Huwezi susia KILA MECHI halafu utarajie ushindi.
Amani iwe nasi.
Nimekua nikifatilia jinsi uongozi wa CHADEMA unavyojibu hoja au vitendo wanavyodhani wameonewa. Mara nyingi KIONGOZI MKUU amekua akiwataka WASUSE. Walisusa mchakato wa katiba, walisusa vikao vya bunge chini ya Naibu Spika, wamesusa uchaguzi wa juzi wa madiwani, na sasa...
Ndugu wana JF,
Kwa moyo uliojaa simanzi napenda kuwauliza viongozi wetu wastaafu (Maraisi, Mawaziri, Wabunge, Makatibu), JE, MUSTAKABALI WA TAIFA LETU BADO UNAWAHUSU?
Ni kweli kwamba uongozi wa AWAMU YA 5 unajitahidi kufanya mengi mazuri na yanayostahili pongezi. Hata hivyo, naona MISINGI YA...
Singapore ndio mji/nchi safi duniani. Huruhusiwi hata kutema mate hovyo. wewe kama ni mla ugoro usiende Singapore na usije Mwanza! Labda uwe na 50,000/=
Ndugu wana JF,
Kwa mikakati aliyonayo Mkrugenzi wa Jiji la Mwanza, anasema baada ya muda mfupi litakua kama Singapore. Kazi inayoendelea sasa ni ujenzi wa barabara za mitaa mbalimbali, mfano barabara ya Isamilo - Mjimwema imejengwa kwa kiwango cha lami na kufungwa taa za barabarani za Solar...
Ndugu yangu, Faru John yeye ni mnyama tu. Kweli Serikali yetu inapaswa kufanya kitu cha haraka kisicho na masharti ya kisiasa ili Lissu asaidike. CDM nao wanaligeuza hili jambo limekuwa 100% politics.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.