Recent content by Bonobo

  1. Bonobo

    Nataka niwe gentleman, nipeni mikato

    Vaa code za kijanja, form six kidogo... mashati flan ya kuvalia jeans.. jeans zisizokuwa na mambo mengi... plain ni mkao zaidi... jitahd usikose saa... hlf sasa pambana unukie, nukia mzee...
  2. Bonobo

    Tafsiri potofu ya agizo la Rais Samia kuhusu kodi itaigharimu Serikali

    Akili kubwa tu ndo itakuelewa, wale waliogeuza kichwa kuwa mzigo hawawezi kukuelewa...
  3. Bonobo

    Unawekeza Tsh 30m unapata kodi 300k kwa mwezi. Mwenzio kawekeza Tsh 2m anapata hiyo hiyo

    Mkuu, umehesabia gharama ya kiwanja hapo ununio? Maana hesabu sio kujenga tu, lazima upige hesabu ya hiko kiwanja pia... Maana gharama ya hiko kiwanja tuu, angewekeza sehem nyingne, angeweza kupata zaidi ya anachopata kwenye hizo nyumba.
  4. Bonobo

    Ni hasara gani kubwa ulishawahi kuipata ikakurudisha nyuma?

    Aisee, huu wizi uliingia sana... tena jamaa waliokuwa wanafanya hizi mambo... walikuwa wanajifanya wakongo... Watu wengi sana wameharibiwa maisha yao kutokana na huu utapelii... maana jamaa wakikuingia hawakupigi padogoo... yan ukija kupikicha macho hivi... 50M ishakatikaaa.
  5. Bonobo

    Ipi kampuni nzuri ya kuagiza gari kutoka nje kati ya SBT na Befoward?

    Achana na mahangaiko, ingia trade car view... ambao sahiv wanaitwa TCV.. Hawa jamaa gari zao vinanda, na unapata nafas ya kulia kupunguziwa beii kama upo mtaa wa congo unanunua madela.
  6. Bonobo

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Hivi kwanin tusifikirie kuwa, huyu jamaa hajawa banned ila tuu amechukua avatar ya hyo “banned” akaweka tuu.. Halaf akaendelea na shughuli zake za ku log in...
  7. Bonobo

    Toyota altezza inauzwa

    Ebhu toa kauli inayoeleweka, umeamua kukana sura yako au huyo sio wewe?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  8. Bonobo

    TANZIA Mohammed “Muddy Physics” wa Mchikichini afariki dunia

    Dah, umenikumbusha mbali sana, hiyo mashine(Busanji) ilinifundisha 2010. Ni miongoni mwa watu wachache wanaoielewa ADV physics... aendelee kupumzika kwa amani aisee.
  9. Bonobo

    Soma hapa kabla hujaagiza gari, huenda ikakufaa

    Hii biashara bado ipo? Naona muanzisha uzi hajibu PM...
  10. Bonobo

    Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

    Mmh... hii bei, mbona kama tupo kwenye makutano ya lindi na swahili... Watakuja mkuu, biashara njema.
  11. Bonobo

    Nimpaie Risiti ya EFD

    Jambo la kwanza, muulize kama anataka risit yenye VAT au hata bila VAT... Kama anataka risiti yenye VAT, bhasi risiti utakayompa wewe itakuwa haina maana na atakapopelekewa mteja ataikataa... maana wewe haupo VAT registered... Lakini kama anataka risiti ambayo haina VAT, yani labda kwa nature...
  12. Bonobo

    Nimpaie Risiti ya EFD

    Kimsing, kama haupo VAT registered, hakutakiwa kukupa hata hiyo 18%... Kwasababu bado haujaruhusiwa kisheria kupokea VAT, na wala huna jukumu la kuipeleka hyo 18% TRA. Pia,Kama huyo mtu, amefanya biashara na mtu ambaye alimcharge VAT, bhasi risiti yako haitomfaa... maana haitoonyesha amount ya...
  13. Bonobo

    Naomba kujuzwa tofauti kati ya Toyota Carina Si na Ti

    Carina Si na Carina Ti, ni gari zinazofanana kabisa muonekano.... lakini zinapishana engine... Si inatumia engine ya 7A, ambayo ni 1790cc Ti inatumia engine ya 5A, ambayo ni 1498cc Utofauti huo unapelekea Carina Ti kuwa na unywaji mdogo wa mafuta ukilinganishwa na Si.... Lakini Si ina nguvu...
Back
Top Bottom