Vaa code za kijanja, form six kidogo... mashati flan ya kuvalia jeans.. jeans zisizokuwa na mambo mengi... plain ni mkao zaidi... jitahd usikose saa... hlf sasa pambana unukie, nukia mzee...
Mkuu, umehesabia gharama ya kiwanja hapo ununio? Maana hesabu sio kujenga tu, lazima upige hesabu ya hiko kiwanja pia...
Maana gharama ya hiko kiwanja tuu, angewekeza sehem nyingne, angeweza kupata zaidi ya anachopata kwenye hizo nyumba.
Aisee, huu wizi uliingia sana... tena jamaa waliokuwa wanafanya hizi mambo... walikuwa wanajifanya wakongo...
Watu wengi sana wameharibiwa maisha yao kutokana na huu utapelii... maana jamaa wakikuingia hawakupigi padogoo... yan ukija kupikicha macho hivi... 50M ishakatikaaa.
Achana na mahangaiko, ingia trade car view... ambao sahiv wanaitwa TCV..
Hawa jamaa gari zao vinanda, na unapata nafas ya kulia kupunguziwa beii kama upo mtaa wa congo unanunua madela.
Hivi kwanin tusifikirie kuwa, huyu jamaa hajawa banned ila tuu amechukua avatar ya hyo “banned” akaweka tuu..
Halaf akaendelea na shughuli zake za ku log in...
Dah, umenikumbusha mbali sana, hiyo mashine(Busanji) ilinifundisha 2010. Ni miongoni mwa watu wachache wanaoielewa ADV physics...
aendelee kupumzika kwa amani aisee.
Jambo la kwanza, muulize kama anataka risit yenye VAT au hata bila VAT...
Kama anataka risiti yenye VAT, bhasi risiti utakayompa wewe itakuwa haina maana na atakapopelekewa mteja ataikataa... maana wewe haupo VAT registered...
Lakini kama anataka risiti ambayo haina VAT, yani labda kwa nature...
Kimsing, kama haupo VAT registered, hakutakiwa kukupa hata hiyo 18%...
Kwasababu bado haujaruhusiwa kisheria kupokea VAT, na wala huna jukumu la kuipeleka hyo 18% TRA.
Pia,Kama huyo mtu, amefanya biashara na mtu ambaye alimcharge VAT, bhasi risiti yako haitomfaa... maana haitoonyesha amount ya...
Carina Si na Carina Ti, ni gari zinazofanana kabisa muonekano.... lakini zinapishana engine...
Si inatumia engine ya 7A, ambayo ni 1790cc
Ti inatumia engine ya 5A, ambayo ni 1498cc
Utofauti huo unapelekea Carina Ti kuwa na unywaji mdogo wa mafuta ukilinganishwa na Si....
Lakini Si ina nguvu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.