Kiongozi unahisi kubeti ni kazi rahisi sana nakuomba usijidanganye hakuna kitu kigumu kama kula milion nane kwa elfu moja au elfu tano nitafute nikupe kisa kilichonitokea khs hiyo beting ni hatari
Having familiarity of places and in actual sense you have not been their it is memory errors and they do occur due tova number of different reasons like emotional involvement in the situation, expectations, and environmental changes the retention interval between encoding and retrieval of the...
Hapana mkuu unakosea unaposema maana ya shetani ni upinzani.....iko hivi ushetani ni matendo i mean kiumbe chochote kikifanya matendo maovu ya kutisha tunasema ni ushetani ht binadamu anaweza kuwa shetani endapo atafanya hayo niliyokueleza.Na hakuna kiumbe mungu alichokiumba akakiita shetani...
Uthibitisho upo mkuu....Maana uthibitisho ni zile njia za kimantiki zilizotumika na zilizopitiwa kuleta huo ushahidi unaosema umewahi kuuona mkuu. Nani wa kuuleta kati ya hao wanaolumbana mimi na wewe hatujui ngoja tuone hadi mwisho...
Ndugu yangu hilo neno ni lakichawi sana linavyoonekana na si kwamba halina maana nimebahatika kuangalia movie yenyewe ni series inaitwa witch from east end hilo neno limetumia zaidi ya mara 30 pia merlin hilo neno lipo na baadhi ya vitabu vya hadith za kichawi siamin hilo neno kuna namna tofauti...
duuh majini makali sana yamkumba masikini huyu mtoto mpelekeni kwa gwajima akimuombea yataondoka hutoamini atarud kuongea kiruguru kama hana akili nzuri ni vijini tu hakuna kipaji apo uliza km hutosikia babu yake alikuwa na majini au bibi yake
Ipo maeneo ya komakoma/kinondoni.
nyumba ya pili kutoka barabara ya lami,ina hati miliki kabisa.kiwanja kinaukubwa wa urefu 15 upana ni 25.
price 250 mil.
+255714316116
hapana dunia haijamizidi ukubwa mkuu,rudia kwenye biblia inasema mungu ni mkubwa na mkuu kushinda vyote alivyoviumba katika ulimwengu ndomana popote unapojificha anakuona na hawezi kukufuta..!!
Lipo maeneo ya M/nyamala komakoma nyumba ya pili kutoka barabara ya lami (Mwijuma Road).Nyumba ina hati kabisa
Upana ni 24
Urefu ni 15
+255714316116 kwa mawasiliano zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.