Binadamu tunaishi ili iweje? Au tupo duniani kufanya nini? Why Do We Live?

Imani ndio inayotupatia makusudi ya maisha yetu or else haya maisha hayana maana kabisa kwani utazaliwa, utakuwa, utaenda shule, utaoa kisha utakufa. Sasa hapo kuna makusudi gani ya maisha? Hivyo ukitaka kupata kusudi la wewe kuwepo duniani lazima uamnini kuwa there is more to life than phyisical being, yaani maisha yetu wanadamu hayaishi pale tu tunapokufa. Ukiamini kuna maisha baada ya kifo, basi hapo unaamini uwepo wa Mungu na ukiamini uwepo wa Mungu basi kusudi la wewe kuwepo duniani linapatikana kwenye Biblia (Kwa sisi wakristo).
 
Mimi ni mtu ninayeamini na kuelewa kwamba Mungu yupo? kwa sababu kuu mbili

1, uambaji wa ulimwengu

2, viumbe hai

hivyo ndio vitu vinanifanya niendelea kuamini yakwamba MUNGU YUPO kwa sababu sijui ulimwengu na viumbe hai vimetoka wapi? au nani kavitengeneza?

pamoja na hivyo huwanga naendelea kubaki njia panda nakushidwa nielewe kipi? ninapojiuliza maswali kama haya


1,ukisoma biblia inaelezea njisi uumbaji wa ulimwengu huu. lakini haijaeleza wazi kuhusu sayari zingine ziliubwaje? au mungu alikuwanga anakosea kuumba sayari hadi alipobahatisha kuumba sayari ya dunia yenye uwezo wa kuishi viumbe hai.?

2, maligafi zenye uwezo wa kuumba ulimwengu alizitoa wapi??

3, biblia inasema binadamu anafanana na mungu kiumuonekano.
kama ni kweli aliwezaje kuumba ulimwengu unaumzidi ukubwa dani ya siku moja?

4, undogo alioutumia kumuumba adam ninaweza nikaupata wapi? katika dunia hii., je kama nikupata ninaweza na mimi nikategema mwili wa binadamu wenye nyama, mifupa, mishipa na damu
 
Mimi ni mtu ninayeamini na kuelewa kwamba Mungu yupo? kwa sababu kuu mbili

1, uambaji wa ulimwengu

2, viumbe hai

hivyo ndio vitu vinanifanya niendelea kuamini yakwamba MUNGU YUPO kwa sababu sijui ulimwengu na viumbe hai vimetoka wapi? au nani kavitengeneza?

pamoja na hivyo huwanga naendelea kubaki njia panda nakushidwa nielewe kipi? ninapojiuliza maswali kama haya


1,ukisoma biblia inaelezea njisi uumbaji wa ulimwengu huu. lakini haijaeleza wazi kuhusu sayari zingine ziliubwaje? au mungu alikuwanga anakosea kuumba sayari hadi alipobahatisha kuumba sayari ya dunia yenye uwezo wa kuishi viumbe hai.?

2, maligafi zenye uwezo wa kuumba ulimwengu alizitoa wapi??

3, biblia inasema binadamu anafanana na mungu kiumuonekano.
kama ni kweli aliwezaje kuumba ulimwengu unaumzidi ukubwa dani ya siku moja?

4, undogo alioutumia kumuumba adam ninaweza nikaupata wapi? katika dunia hii., je kama nikupata ninaweza na mimi nikategema mwili wa binadamu wenye nyama, mifupa, mishipa na damu

Kama unaamini kupitia Biblia rudi ukasome vizuri na uhakikishe unaielewa,naamini ukifanikiwa hilo utarudi hapa na maswali mengine tofauti na haya ya sasa ambayo hata baadhi ya uandishi umeunga unga herufi na kufanya usieleweke!
 
Kama unaamini kupitia Biblia rudi ukasome vizuri na uhakikishe unaielewa,naamini ukifanikiwa hilo utarudi hapa na maswali mengine tofauti na haya ya sasa ambayo hata baadhi ya uandishi umeunga unga herufi na kufanya usieleweke!

kama wewe umesoma vizuri biblia kwa nini usijubu hata swali moja?
 
Mimi ni mtu ninayeamini na kuelewa kwamba Mungu yupo? kwa sababu kuu mbili

1, uambaji wa ulimwengu

2, viumbe hai

hivyo ndio vitu vinanifanya niendelea kuamini yakwamba MUNGU YUPO kwa sababu sijui ulimwengu na viumbe hai vimetoka wapi? au nani kavitengeneza?
Kesho ukiambiwa kwamba havijaumbwa utakubali?
pamoja na hivyo huwanga naendelea kubaki njia panda nakushidwa nielewe kipi? ninapojiuliza maswali kama haya


1,ukisoma biblia inaelezea njisi uumbaji wa ulimwengu huu. lakini haijaeleza wazi kuhusu sayari zingine ziliubwaje? au mungu alikuwanga anakosea kuumba sayari hadi alipobahatisha kuumba sayari ya dunia yenye uwezo wa kuishi viumbe hai.?
Biblia ni manual book kwaajili ya binadamu aliyeko duniani kwa matumizi ya binadamu huyo huyo aliyeko huku huku duniani,unataka ielezee mambo ya sayari nyingine kwasababu gani?

Unaweza kukuta manula book ya Monitor ikaelezea matumizi ya dawa ya asprin?
2, maligafi zenye uwezo wa kuumba ulimwengu alizitoa wapi??
Unajua maana ya kuumba?

Kuumba maana yake ni "to bring something from nothing",sasa unaulizaje alipotoa malighafi?

Ungeambiwa alitengeneza [made] ndio swali lako lingekuwa na msingi,lakini kwasababu linazungumzia kuumba linakosa msingi
3, biblia inasema binadamu anafanana na mungu kiumuonekano.
Kimuonekano? Ya wapi hii?
kama ni kweli aliwezaje kuumba ulimwengu unaumzidi ukubwa dani ya siku moja?
Msingi wa swali hili umetokana na kutokujua,kwa maana hiyo swali hili nalo ni la namna hiyo hiyo
4, undogo alioutumia kumuumba adam ninaweza nikaupata wapi? katika dunia hii., je kama nikupata ninaweza na mimi nikategema mwili wa binadamu wenye nyama, mifupa, mishipa na damu
Jibu la swali hili liko hapo juu ....!!
 
mengine utamulize ukibahatika kwenda mbinguni.ila kuna mengine majibu yamo kene biblia....hatujui mwanzo wala mwisho nayy ni mwanzo na mwisho....
 
hapana dunia haijamizidi ukubwa mkuu,rudia kwenye biblia inasema mungu ni mkubwa na mkuu kushinda vyote alivyoviumba katika ulimwengu ndomana popote unapojificha anakuona na hawezi kukufuta..!!
 
Kwa mujibu wa biblia ni kwamba
Dunia ni sehemu ya mungu ya kuweka miguu yake.so...habari ya mungu(yehova)kuzidiwa ukubwa na dunia haipo.
 
we can get something from nothing up to this time hilo swali la kuwa ulimwengu umetokea wapi ni tata sayansi inajitahidi kulijibu na hoja za science atleast zina mashiko kuliko hizo za mungu pia binadamu amemuumba mungu na kumpa sifa kama jinsia na uwezo mkuu but he is invisible and omniscient sasa kama unadai mungu anajua kesho yako na pia kashapanga hii ina maana unavyoishi now tayari kapanga hili linakuingia akilini kweli????
 
Mimi ni mtu ninayeamini na kuelewa kwamba Mungu yupo? kwa sababu kuu mbili

1, uambaji wa ulimwengu

2, viumbe hai

hivyo ndio vitu vinanifanya niendelea kuamini yakwamba MUNGU YUPO kwa sababu sijui ulimwengu na viumbe hai vimetoka wapi? au nani kavitengeneza?

pamoja na hivyo huwanga naendelea kubaki njia panda nakushidwa nielewe kipi? ninapojiuliza maswali kama haya


1,ukisoma biblia inaelezea njisi uumbaji wa ulimwengu huu. lakini haijaeleza wazi kuhusu sayari zingine ziliubwaje? au mungu alikuwanga anakosea kuumba sayari hadi alipobahatisha kuumba sayari ya dunia yenye uwezo wa kuishi viumbe hai.?

2, maligafi zenye uwezo wa kuumba ulimwengu alizitoa wapi??

3, biblia inasema binadamu anafanana na mungu kiumuonekano.
kama ni kweli aliwezaje kuumba ulimwengu unaumzidi ukubwa dani ya siku moja?

4, undogo alioutumia kumuumba adam ninaweza nikaupata wapi? katika dunia hii., je kama nikupata ninaweza na mimi nikategema mwili wa binadamu wenye nyama, mifupa, mishipa na damu

kwasababu umesoma biblia tu huwezi kupata jibu. Biblia haina kila kitu.
 
kwasababu umesoma biblia tu huwezi kupata jibu. Biblia haina kila kitu.

Unauthibitisho gani wakuthibitisha kwamba mimi nimesoma biblia tu.

anyway hiyo siyo topic.
mkuu Superman kwa kuwa wewe umesoma vitabu vingi ninaamini utanijibu maswali kama inavyotakiwa na kwa hoja zilizoshiba.
 
Last edited by a moderator:
Biblia haijaandika au kuekeza kila kitu ktk dunia hii ubishi Wa nini?

Nimeuliza swali dogo tu kwamba "kwenye biblia hakuna nini" lakini badala ya kujibu unakuja na madai ya ubishi,hii ni tabia ambayo sio nzuri kwa afya ya ubongo ...

Kama una jibu si unanijibu tu na kama huna jibu si unakaa kimya tu?
 
Ushawahi kufikiri kuhusu haya maisha yetu tunayoishi?

Nimekaa na kufikiri kuhusu haya maisha yetu, nimeshindwa kuona maana yeyote ya msingi.Sijui nyie mnaonaje.

Maana mie naona watu tunakula,kulala,kujamiana,kuzaa watoto,kusoma,kufanya kazi,wengine matajiri wengine masikini,tunafanya tupendavyo, n.k

Baada ya yote hayo mwishoni tunakufa. Nimefikiri sana nimeshindwa kujua haya maisha yote yanamaana gani?Lakini la ajabu tunayapenda.
 
Nimeuliza swali dogo tu kwamba "kwenye biblia hakuna nini" lakini badala ya kujibu unakuja na madai ya ubishi,hii ni tabia ambayo sio nzuri kwa afya ya ubongo ...

Kama una jibu si unanijibu tu na kama huna jibu si unakaa kimya tu?


Kwenye biblia kuna kompyuta? Kuna ndege ya abiria?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom