Huyo mkuu Wa chuo..jamani NI chuo gani hicho?maana mhhh hawa ndio wale wanaitwa dull..ukitoa kichekesho leo wao wanacheka kesho...yani ndio ubongo umetranslate
------- hao ndio maana misahara hayo hairuhusu hata kununua nguo za kubadili.....Huyo wanayemtetea hawaoni kama aliwadhalilisha..kuwapa kazi ya kufundisha wakati wao walufeli
Nimeelewa sana....that's another issue...nilichojaribu kuchangia hapo ni suala kwamba haya hati hiyooooo...and that's all....nikasema suala hapa sio hati hiyoooo...issue ni uhalali wa hati hiyo...
Sasa wewe mshazari...nakusemasema kote huko hiyo hati wewe umeiona?na kama umeiona una uhakika na ualali wake?kwani hakuna Samsung galaxy note 3 ya mchina na inafanana copyright na original?kwanza kikawaida mahali penye documents nyeti za kusaign maandalizi huwa mpaka kalamu za kusign...
Hivi wadau mnapotezaje muda hapa eti kumjadili Zitto!!!who's Zitto by the way....CHADEMA is an institution....members may come...members may go but CHADEMA will still there...acheni upuuzi
Waheshimiwa..mchungaji aliye bora ni yule mwenye kukaa na wakosaji na kuwasafisha na kamwe sio yule anayetazama walio wasafi tu na kunyooshea vidole walio wachafu...mistakes have alredy done....na kama unafuatitia.upuuzi wote huo ulifanywa hata kabla ya uzao wa Tundu lisu...sasa he need support...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.