Tatizo kubwa wabongo tunachagua kazi, kuna kaka mmoja namfahamu alikuwa na degree yake, alitafuta kazi mpaka akachoka, then akaenda kuomba kazi ya ulinzi akapata, and now ni project manager na mshahara wake mzuri tu, hata mkifuatiria karibu makampuni mengi yenye security managers/assistants...
Poleni na majukumu ya hapa na pale.
Naomba msaada kwa yeyote anayejua wapi naweza nikapata Statistics za matokeo ya mitihani ya secondary school O-Level kuanzia mwaka 2010 - 2013 anijuze, ili niweze kufanikisha research yangu ya shule.
Mbarikiwe sana!:A S-heart-2::A S-heart-2:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.