Recent content by Boniphace Nzyungu

  1. Boniphace Nzyungu

    Bodi imeacha kutoa majina ya wanufaika kwa mwaka 2016 /2017

    Nauliza kama bodi ya mikopo ya elimu ya vyuo vikuu imemaliza kutoa majina kwa wanufaika wa mikopo 2016 /2017, maana mpaka sasa hatuelewi na vigezo wanavyotumia kutoa hiyo mikopo ni vipi? Naombeni mwenye taarifa yoyote kuhusiana na hili tujulishane maana tunateseka tulio na vigezo na tumekosa...
  2. Boniphace Nzyungu

    HESLB mbona hawaeleweki sasa

    majina yanapelekwa kwa institute, so better kauliza chuoni
  3. Boniphace Nzyungu

    Kwanini CBG, CBN na CBA hawaruhusiwi kusoma udaktari

    Mie nacho kiona kuhusu kuchagua PCB kuhusika na udactari ama coz nyingi za afya hapa Tz na kote Dunia ni PURE SCIENCE, coz alozoma PCB kasoma vitu ving kuhusian na science, but kigezo hakina Mantiki san kwa7bu phy haitumik kama wanavyoipa kipaumbe... niko pharmacy bd sijaon.....
  4. Boniphace Nzyungu

    Kama hukusoma shule hizi kongwe, wewe ni mmoja wa vilaza mliopo hai

    mambo ya kishamba kujiona wewe ndo muhimu na una akili kisa ulisoma shule za msaada
  5. Boniphace Nzyungu

    Naomba kuuliza kama kuna uwezekano wa kufanya transfer kwa muda huu

    Nimechaguliw awamu ya tatu na coz nloipata niliijaza mwisho na sikuwa na malengo nayo, naomba kuuliza kama kuna uwezekano wa kufanya transfer kwa muda huu?
  6. Boniphace Nzyungu

    upungufu wa vyuo vya afya kulingana na ufaulu wa watu. nani alaumiwe?

    duh sijui tulopata 2 tuende wap na tukiwaz vijijn wanjua anataka kuwa dactari......!!!!!!
  7. Boniphace Nzyungu

    Awamu ya pili: Orodha ya wanafunzi waliochaguliwa vyuo mbalimbali nchini 2016/17

    mbn kweny web nyingine inaonyeshwa kam first n haipo second "maswayetu blog"
Back
Top Bottom