upungufu wa vyuo vya afya kulingana na ufaulu wa watu. nani alaumiwe?

zeromagic

Senior Member
Sep 14, 2016
186
67
kwanza nawapongeza form six leavers wote pcb na cbg waliofaulu vizuri mitiani yao ya taifa.
lakini cha kushangaza, mpaka sasa wahitimu wengi wenye ufaulu kuanzia div2 pcb na baadhi ya div1 cbg wengi wao hawajapata vyuo.
watu hawa walikua wana ndoto za kua madaktar na mapharmacia wa baadae, sasa ndoto yao inaenda kuuliwa sio kwa sababu wamefeli form6, la hasha. huwezi kusema mtu aliyepata div2 ya kumi kafeli.
ili hawa watu kutimiza malengo yao wafanyeje?
na vyuo kua vichache kulinganisha na idadi ya wafaulu ni tatizo la nani?
 
Tatzo serikali inalalamika kua Kuna upungufu wa madaktari. Huku watu wapo na wenye sifa.
 
awa watu wanazingua.
wamefunga vyuo vingi vya afya.
sasa wanategemea watu wakasome wapi
 
Wako sahihi kabisa kufungia hivyo vyuo vya afya kwa sababu ya kukosa sifa lakini swali la kujiuliza mbona kuanzia second year kuendelea kuna watu wanaendelea kama kawaida kwa nin wa mwaka huu wamewachinjia baharini
Halafu wengine wanapeta kama kawaida
 
Umesema waliofaulu vizuri na nimeelewa kuwa wengi wamejaza nafasi kwa kufaulu zaidi ya hao uliwasemea walichopata au?

Yaani ndio kumaanisha wapige vitabu zaidi nao wapae au?
 
Back
Top Bottom