Recent content by Boniphace Bembele Ng'wita

  1. Boniphace Bembele Ng'wita

    JamiiForums Tanzania LIVE Mahakama: Lissu ana Kesi ya kujibu kutokana na ushahidi wa Jamhuri uliotolewa (Agosti 21, 2026). Amtaja Rais Samia kuwa shahidi wake

    Hii case kama ikiendelea itamalizika 2030... naona kabisa huu mchezo ukifika hukoooooo
  2. Boniphace Bembele Ng'wita

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasira: Serikali iombe radhi kwa kosa gani? Yale hayakuwa maandamano ni ghasia

    Tuseme ni vulugu, ghasia, au vyovyote vile! Je uhai wa wale ambao hawakuwa wahanga? Kwamba nao walikuwa wanafanya vulugu? Huu utamaduni umeanza lini wa kuona dam ya mti ni kama kuku au mnyama? Utamaduni tulio nao ni kupeana pole, bila kujari hyo mtu amekufa kwa namna ipi, ndvyo tumekuzwa...
  3. Boniphace Bembele Ng'wita

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasira: Serikali iombe radhi kwa kosa gani? Yale hayakuwa maandamano ni ghasia

    Duh, hii nchi kunawatu huko nje huwa ni kipindi chao cha nyepesi nyepesi
  4. Boniphace Bembele Ng'wita

    JamiiForums Tanzania Mimi na mzee wangu hatuko sawa, na sioni dalili ya kuja kuwa sawa tena

    Unamiaka 29 mean umezaliwa 1997.. very yangu bado u mvulana unaye elekea kwenye utu uzima... Maisha yako na hasira zako zitakufanya usifanikiwe kwenye maisha, Baba yupo sahihi na atakuwa sahihi daima.. Isivyo bahati hujajua kuwa Baba alikuunda hivyo kutokana na makosa ambayo aliyafanya...
  5. Boniphace Bembele Ng'wita

    JamiiForums Tanzania Riwaya: See Me (Nione)

    Mkuu una diploma ya ukwepaji ukwel, taji lako like paleeeee
  6. Boniphace Bembele Ng'wita

    JamiiForums Tanzania Love is a drug abuse

    We jamaa huaminiki jinsi ulituacha solemba kule kwenye Ile sea m nilijiapiza sitasoma tena hzi ngonjela.. yaan duh
  7. Boniphace Bembele Ng'wita

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu: Shahidi wa 18 akwamisha kesi yaahirishwa hadi Agosti 17, 2026

    Hii kesi ikiwahi kuisha ni 2030 November
  8. Boniphace Bembele Ng'wita

    JamiiForums Tanzania Mnakumbuka tukio la majambazi kuvamia Pugu Secondary mwaka 2003?

    Ila we jamaa unamatatzo asee unamtania mjomba kama mtani wako duh
  9. Boniphace Bembele Ng'wita

    JamiiForums Tanzania Vijana mkipata nafasi ya kuji attach kwenye royal family, Usirudi nyuma

    Mkuu pamoja na mambo mengi upo sahihi kwa mtazamo wako, maisha no safari ndefu sana.. unaweza kuyafanya kwa namna nyingi.. ndyo maana kuna wengine huamua kwenda kwa waganga wa kienyeji ili wafanikiwe, wengine kujiuza, wengine kuwa majambazi, kufanya uchawa(hii nadhani ipo tz) na namna...
  10. Boniphace Bembele Ng'wita

    JamiiForums Tanzania Mawakili zaidi ya 390 wa Tanzania Bara Hatarini Kupoteza Uwakili wao

    Kesi yoyote inatokana na ukiukwaji wa sheria na haki za msingi za binadamu.. Huenda kwel sheria ilifanyiwa marekebisho lakn y 360? Je vigezo vyao vikikuwa gazeted? How informations extended to the society? Ikiwa sheria haitakuwa mhimili wa kuongoza basi tutakuwa kama wanyama polini. Ifike...
  11. Boniphace Bembele Ng'wita

    JamiiForums Tanzania UEFA yakataa ombi la msamaha la Infantino, yasisitiza mpango wa kususia kombe la dunia upo palepale

    Nlichojua FiFA ni kipande ni pale mshindi wa kwanza alipopatikana asee kumbe anapata pesa ndg kiasi kile duh macho yalitoka ,,😗🤪🤕 fikilia mtu anapata usd b13.. halafu mshindi wa kwanza anapata usd m50+ chukua washindi wote haifik 200m.. halafu jamaa wamekuja b13 ndani ya mwezi huu1...mpira...
  12. Boniphace Bembele Ng'wita

    JamiiForums Tanzania DOKUMENTARI - Usaliti kwa MAGUFULI Hadi Saa Yake ya Mwisho

    Utangulizi maridhawa.... ngoja tusubri yaliyomo yamo?
  13. Boniphace Bembele Ng'wita

    JamiiForums Tanzania Aliyejirekodi na kuonyesha Kariakoo hakuna Watu na Maduka yamefungwa siku ya 77 apewa kesi ya Ugaidi

    Inategemea folen yako inatembeaje ila ni swala la mda tu anza kupiga jaramba..
  14. Boniphace Bembele Ng'wita

    JamiiForums Tanzania Aliyejirekodi na kuonyesha Kariakoo hakuna Watu na Maduka yamefungwa siku ya 77 apewa kesi ya Ugaidi

    Mkuu ni swala la mda tu kila mtu atafikiwa...
  15. Boniphace Bembele Ng'wita

    JamiiForums Tanzania Aliyejirekodi na kuonyesha Kariakoo hakuna Watu na Maduka yamefungwa siku ya 77 apewa kesi ya Ugaidi

    Nafikiri ni swala la Muda tu kila mtu atafikiwa kwa wakati wake.. uwe tayari mkuu...
Back
Top Bottom