kama sikosei ni the long weit. mkuu.....
pole sana kwa familia yote ya kazin na nyumbani.... Mungu awatie nguvu ktk kupindi hiki kigumu sana..... ukiwa hujawahi kupata msiba huwezi kujua uchungu wake.....
tunaelekea kuzr sana ķuliko tulipotoka... isipokuwa kila jambo na tukio huwa halirud nyuma.
mkuu kwanza ni mhim kujua kuwa uhuru tulio nao wengi wanautamani swala la vituo vya kupigia kura kunamtu anaitwa FIM kawalisha watu matango pori kwa kuwaabia et kunavituo hewa.....
nasubr. avitaje
kwanza tushukru kumekuwa na taarifa maana kulikuwa na romus nyingi bila kukanushwa wala kuthibitishwa.. sasa basi kunakitu cha msingi sana cha kujifunza.... ugaidi si jambo la kufurahia hat kidogo... tunapaswa wote kwa pamoja kulaani na kulisuport. jeshi letu... haijarishi tunatofautiana...
hata rais mwenyewe hawajui wote ndo ujue sasa hii kazi ni ngum sana hata mkuu wa idara ya usalama hawajui wote.... ndo utakąpojua kuwa ni hatari kufanyakazi kwenye idara kama hii....
h
hii ndo kazi ngum na mbaya kuliko zote Duniani..... ni nzr kwa sifa ila ni mbaya kwa utekelezaji.....
nliwahi kusema hii hata kama nitaambiwa kwamba njoo ufanyekazi kwa kwel ntakataa bila hata kukilia....
kitu ambacho unapaswa kujua hii ndo kazi hutapata aman maisha yako yote mpka unaingia...
mkuu kuna ndoto zingine unapaswa kuziangalia kabla ya kuzisema.....
ccm ni chama ambacho kukiondoa madarakani mpka kunahitaji mizizi thabit kabisa.... kimsingi sio swala la imotions.. au strong political party
HAPANA KUBWA...
na sabab kubwa ni 1 tu vyama vya siasa ama kwa kujua ama...
anatatizo kubwa na kisaikolojia ambalo huwapata watu wa aina kama yake kibaya zaidi hata watu wake wa karb hawamwambii....
fikria tu kesho tuamke tunarais anaitwa tl.. unadhani nn kitatokea???
anabahat 1hajapelekewa majina makubwa kule...... ndungulile anapungukiwa na utovu w nidham kwa mkubwa wake wa kaz na ndo bahãti ya Makonda.... vingnevyo asingetosha kabisa.....