Mkuu ikiwa wataenda hivi itawachukua safari ya wanawaisraele kutoka misiri kwenda kanani! Miaka 40... na hii ni kwakuwa waliacha agenda wakashugulikia issues..
Kwa sasa wapo kwenye flame au plan ya waleeeeeee. Siku wakiamua kabisa waunde plan yao wakafocus kwenye agenda wametoboa..
Mkongwe
I think you guys mnahitaji extra mind kwa sbb hiki kinachoendelea ni kama plan o something flamed ambayo cdm wanaelea humo ndani.. ni vyema wakafocus kwenye agenda waachane na issues. Maana tayari wametengenezewa issues amesahau agendas...
Siku wakiamka kutoka kwenye huo usingizi ndo siku...
Watu 2 wajua trust me
1) mama yake mzazi
2)mdogo wake wa kike/ rafiki yake
Hao viumbe hawajawahi kuumbwa hivyo unavyo wadhania sasa kama umebisha subri tu mda maana ni mwamzi mzri..
Kibaya zaidi baba wa mtt anajua kabisa kuwa mwanae yupo wapi na ukwel ni huu anapata taarifa zote..
kwa says duniani watu wema , wenye haki, wasiokuwa na watetezi , watu wa hali ya chini, wasio na uwezo wa kujitetea wanaweza Kufa mda wowote bila hata sabb za kisheria.. yaan mtu anaweza kuamka nyumban kwake akaona humstahilia anakuuwa na inakuwa imeisha hvyoo..
Mungu atusaidie sana ..
Siku zote mwanamke mzr naihitaji kujipodoa, kujiremba, Shanga, bangili au kutengeneza body yake (
Mwanamke mzr nahitaji mapambo ukiona anatumia mda mwingi kujiremba.. ujue hyo ni mchafu
Gamond(master) hili jambo alikaa halo mda mrefu alisubr mda muafaka, isivyo bahati anajua imetukia katika mtende jangwani akaona hapahapa..
Kiujumla anaona kabisa wananchi hawiungi mkono timu yao ya taifa.. yale mapenzi yamepungu kwa chini ya 20% sasa anarudishaje ? Njia pekee ni kuwapa pole...
Mkuu kwan makosa ya kijinai ni makosa yapi? Maana sikuhis kosa la kuongea ukwel nayo ni uhani au jinsi! Nnaombeni mwenye kujua haya makosa ya kijinai ni kama yapi? Ambayo yanapelekea mtu kukamatwa na kuzungushwa vituo vya police ? Au sheria ya nchi hii jinsi inatofautiana kutoka kwa mtu 1 kwenda...
Tusipokuwa makini na kuchukulia mambo seriously kunasiku haya mambo yatakuwa kwel.. tufike mahali tujue namna ya kushusha hisia na kuondoka kile kinachoitwa kupuuzia mambo... haya tukiona ni upuuzi ikatokea kwel nan atalaumiwa??
ni lazima viongozi wawe active si proactive... ni heri nusu Shari...
Kunawakati ni aheri kunyamaza kuliko kusema.. aliwahi kusema polepole kuwa kabla hujasema assess kwanza then jipe mda wa kutafakari halafu chambua cha kusema then sema.. hasa kwa wanasiasa wanao simama mbele ya umma kila wakati..
Huu uzi watu wa nyumba kubwa wanapaswa kuchota maarifa mengi wakitumia weredi kidgo huenda mwendo wa 912 hautaingia.. ila wakikaza shingo kunauwezekano mkubwa 129 ikaja kugeuka kuwa 121 na utakuwa uzembe uliopitiliza..
Kumbuka kabla ya kufikia hapa watu walionya mno wakasema tuongee kama taifa...
Mkuu hii nukuu na mfano upo sahihi kabisa hiki kizaz kina DNA ya ajabu sana hakisikii wala kujari halafu sasa namna ya kudeal nao pia ni shida ukideal kama Unadeal na hawa 1980s umepotea kabisa..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.