binafsi naitaza hivi!
simba wamedisclose some informations ili kuleta gilibu kwenye daby ya kko tarehe20, mean watu wafocus kwenye discussion za Mangunga, na mo wasahau ajenda ya msingi..
hizi wanaita siasa za mpira ni sawa na siasa za nchi tu kama mnajambo fulani so hot! kunatengezwa jambo...
Wanabodi heshima kwenu wakuu!
Nimesoma kwenye gazeti la mwananchi toleo la leo 16/04/2024 ukurasa wa 17, kuwa RAIS DR SAMIA
atafanya ziara ya kikazi nchini Uturuki kwa mda wa siku 5 kuanzia tarehe 17/04/2024
Naomba nitoe maoni yangu binafsi juu ya hii ziara, kwa kuikumbusha tu taasisi ya Rais...
niko tayari kukosolewa ila kama kuna umalaya uliofungwa kwenye Mti mkavu ni huu wa single mother! yaani wanakimbia ndoa halafu wanaleta visingizio vya kike!
anyway maisha acha kuwa shabiki wake toka alipotoka kwa mme wake na nlifuta na kuchoma Cd zake zote!
by the way hakuna mtumishi wa...
mkuu matokeo huwa yanaweza kubadilishwa ikibainika kulikuwa na upangaji wa matokeo, ila kikubwa sana CAF waseme tu je lile ni goli au si goli? then uamzi tunawaachia wao nini kifuate baada ya hapo wanahitaji ku clear air kabla haijakuwa mbaya na chafu zaidi kuliko hii
mbona EPL wanapokwa pointi wao wanatumia kanuni ipi au mpira wa Africa unasheria zake? umesahau ile ya simba kuchezesha mchezaji asiye stahiki? bado yanga wakipanga karata vzr wanaweza wakapindua meza kibabe, staki kuamini kuwa VAR inakuwa ARV
uzuri wa Paul makondo ni 1 anaenea kila sehemu yaani akiwa hana kazi anatosha akipata kazi anaenda, akiwa mkubwa anaenea na akiwa mdogo kadhalika anaenda
kwangu namuona kama mtu fulani hivi mkubwa huko mbele ambaye atakuja kulikomboa hili taifa, viva makondo viva Arusha
tuwachambue kidogo
KASIM MAJALIWA
W/M kiongozi wa kazi/mtendaji mkuu wa kazi zote za serikali, anayo mammlaka ya kuteua na kutengua Kwa ngazi ya serikal za mitaa, anauwezo wa kutoa maagizo, ni mkono wa kuume wa Rais, kimsingi ndyo taswara ya utendaji, Kwa haiba yake anamipaka japo ni kiongozi...
hapa ndipo tunapotofautiana na watu wengi huko nje! sisi waandishi wa habari ni wa masilahi wanajua kwel kuandika ila hawajui kuwa habari inasehem tatu, mhim
1)kugundua
2)kutoa taarifa
3)kuhitimisha
kugundua
wapo vizri mno mnooooo
kutoa taarifa
there genius kabisaaaaaa
kuhitimisha...
tunaweza kutofautiana Kwa mawazo ila tukabaki na ukwel halisi kuwa mtu pekee alieweza kudhibiti mfumko wa Bei ni JPM tu, na hakuwa na mchezo na alikuwa na Nia, pamoja na malengo,
wengine huku wanatuchezesha Ngoma ya mdundiko tu, tuendelee kula mtori nyama tutazikuta chini.
Sent using Jamii...
Pm
ndiyo mtu pekee katika ccm ambae anawafuata wananchi mahari walipo kabisaa, ukiangalia mama hajafanya ziara za kimkakati za Moja Kwa Moja na makonda ameletwa Kwa ajiri hyo,
akitulia vzr na asiwe na tamaa akapata washauri wazuri ni miongoni mwa viongozi Bora zaidi kuwahi kutokea kwenye...
mkuu may be tukubaliane kuwa itikadi ya chama na sera zimebadilika au kubaki kiini macho, pengine labda wakati hao viongozi wa juu kabisa Nao walianza hvyo,
anyway ccm inawenyewe according to them, so hakuna haja ya kuwalaimu wakati mm na ww pengine si wanachama kabisa,
ninachokijua na...
mkuu unaishi Tanzania kwel au unamakazi nje ya nchi? maana unachokieleza ni as if kunamtu anakulisha, Kwa Nini nasema hivyo?
Kwa sabb unahisi muungano kuwepo migogoro itaisha wapi ulisikia? hyo ndoa au ushawahi kusikia ndoa ambayo Haina mgogoro?
hata siku 1 mkuu wa majeshi ni mmoja tu na IGP...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.