Recent content by Boniphace Bembele Ng'wita

  1. Boniphace Bembele Ng'wita

    Heche adai mahakama inatumika kumkandamiza Lissu

    Mkuu ikiwa wataenda hivi itawachukua safari ya wanawaisraele kutoka misiri kwenda kanani! Miaka 40... na hii ni kwakuwa waliacha agenda wakashugulikia issues.. Kwa sasa wapo kwenye flame au plan ya waleeeeeee. Siku wakiamua kabisa waunde plan yao wakafocus kwenye agenda wametoboa.. Mkongwe
  2. Boniphace Bembele Ng'wita

    Heche adai mahakama inatumika kumkandamiza Lissu

    I think you guys mnahitaji extra mind kwa sbb hiki kinachoendelea ni kama plan o something flamed ambayo cdm wanaelea humo ndani.. ni vyema wakafocus kwenye agenda waachane na issues. Maana tayari wametengenezewa issues amesahau agendas... Siku wakiamka kutoka kwenye huo usingizi ndo siku...
  3. Boniphace Bembele Ng'wita

    Mambo ya kisheria unayotakiwa kuyajua kabla haujaamua kumuoa single mother

    Watu 2 wajua trust me 1) mama yake mzazi 2)mdogo wake wa kike/ rafiki yake Hao viumbe hawajawahi kuumbwa hivyo unavyo wadhania sasa kama umebisha subri tu mda maana ni mwamzi mzri.. Kibaya zaidi baba wa mtt anajua kabisa kuwa mwanae yupo wapi na ukwel ni huu anapata taarifa zote..
  4. Boniphace Bembele Ng'wita

    Ayatollah Ali Khomeini auawa baada ya mashambulizi ya Israel na Marekani

    kwa says duniani watu wema , wenye haki, wasiokuwa na watetezi , watu wa hali ya chini, wasio na uwezo wa kujitetea wanaweza Kufa mda wowote bila hata sabb za kisheria.. yaan mtu anaweza kuamka nyumban kwake akaona humstahilia anakuuwa na inakuwa imeisha hvyoo.. Mungu atusaidie sana ..
  5. Boniphace Bembele Ng'wita

    Swali Fyatu: Mbona kama wanajitahidi mno Kujipodoa?

    Siku zote mwanamke mzr naihitaji kujipodoa, kujiremba, Shanga, bangili au kutengeneza body yake ( Mwanamke mzr nahitaji mapambo ukiona anatumia mda mwingi kujiremba.. ujue hyo ni mchafu
  6. Boniphace Bembele Ng'wita

    Kulikoni tena Wasafi Media inakimbiwa sana sasa na Watangazaji wake maarufu?

    Nmemdikia na kocha ambabgile nae shwaaa huenda kunazaidi ya ithibati.. mwenyekujua atuambie
  7. Boniphace Bembele Ng'wita

    PostGE2025 Kocha Gamondi: Ushindi wa Tanzania ni heshima kwa waliopoteza maisha Oktoba 29

    Gamond(master) hili jambo alikaa halo mda mrefu alisubr mda muafaka, isivyo bahati anajua imetukia katika mtende jangwani akaona hapahapa.. Kiujumla anaona kabisa wananchi hawiungi mkono timu yao ya taifa.. yale mapenzi yamepungu kwa chini ya 20% sasa anarudishaje ? Njia pekee ni kuwapa pole...
  8. Boniphace Bembele Ng'wita

    CCM walijua Geoffrey Mwambe atalamba Miguu, Mnamtesa bure. Hawezi

    Mkuu kwan makosa ya kijinai ni makosa yapi? Maana sikuhis kosa la kuongea ukwel nayo ni uhani au jinsi! Nnaombeni mwenye kujua haya makosa ya kijinai ni kama yapi? Ambayo yanapelekea mtu kukamatwa na kuzungushwa vituo vya police ? Au sheria ya nchi hii jinsi inatofautiana kutoka kwa mtu 1 kwenda...
  9. Boniphace Bembele Ng'wita

    PostGE2025 Ujumbe wa Rais Samia kuhusu Maadhimisho ya Sikukuu ya Uhuru Desemba 9, 2025

    Hili swal hata mm najiuliza toka kule hajaonekana kabisa... isije kuwa ya kmk
  10. Boniphace Bembele Ng'wita

    Kaka yake Polepole, Augustino Polepole ametoa saa 24 kaka yake aachiwe, kinyume na hapo atalipa kisasi

    Tusipokuwa makini na kuchukulia mambo seriously kunasiku haya mambo yatakuwa kwel.. tufike mahali tujue namna ya kushusha hisia na kuondoka kile kinachoitwa kupuuzia mambo... haya tukiona ni upuuzi ikatokea kwel nan atalaumiwa?? ni lazima viongozi wawe active si proactive... ni heri nusu Shari...
  11. Boniphace Bembele Ng'wita

    PostGE2025 Mwigulu Nchemba ayakana mabasi ya Esther,asema Hana hata biashara ya Noah

    Kunawakati ni aheri kunyamaza kuliko kusema.. aliwahi kusema polepole kuwa kabla hujasema assess kwanza then jipe mda wa kutafakari halafu chambua cha kusema then sema.. hasa kwa wanasiasa wanao simama mbele ya umma kila wakati..
  12. Boniphace Bembele Ng'wita

    Sina mashaka kuwa kuelekea uchaguzi mitandao ya kijamii itakuwa haifanyi kazi. Wafundisheni wa Tz namna ya kutumia VPN kwa wingi kwa mfano huu

    Mkuu hili andika lako unaweza kulikana au kuri editmk Mkuu hili andika lako unaweza kulikana au kuli edit? Au uli update ni ushauri mkuu .
  13. Boniphace Bembele Ng'wita

    PostGE2025 Nilichokishuhudia kwenye maandamano: Serikali ya Tanzania imeshindwa vita

    Huu uzi watu wa nyumba kubwa wanapaswa kuchota maarifa mengi wakitumia weredi kidgo huenda mwendo wa 912 hautaingia.. ila wakikaza shingo kunauwezekano mkubwa 129 ikaja kugeuka kuwa 121 na utakuwa uzembe uliopitiliza.. Kumbuka kabla ya kufikia hapa watu walionya mno wakasema tuongee kama taifa...
  14. Boniphace Bembele Ng'wita

    PostGE2025 Nilichokishuhudia kwenye maandamano: Serikali ya Tanzania imeshindwa vita

    Mkuu hii nukuu na mfano upo sahihi kabisa hiki kizaz kina DNA ya ajabu sana hakisikii wala kujari halafu sasa namna ya kudeal nao pia ni shida ukideal kama Unadeal na hawa 1980s umepotea kabisa..
Back
Top Bottom