Tutasikia mengi sana kama
Hao wa wakuu wa vyombo vya usalama wakaja kujibu! Nahisi sasa wanaingia kwnye mfumo ambao lisuu alikuwa anautafuta.. kunamtu atapata dharura tu .. au hata rudi siku ya pili kwenye examination. Ngoja tuendelee kula nyama tutazikuta chini
Kwan majukum ya makam wa rais yalishabadilishwa? Najua alikuwa anashughulikia mazingira na mambo ya muungano.. hii ya sukari alikuwa waziri wa viwqnda na biashara pamoja na waziri mkuu.. au m ndo nmejivulugha?
Hii kesi na ya Bashite zinafana japo hazina uwiano, bashite aliweza kuihandle hii vzr kwa kuwa hakuwa na ubishi, nacho ona hapa hyu mwamba amekuwa na kiburi...
Hii ndo itamponza, kwa sabb wawazi wanajua, uhamiaji wanajua idara ya usalama wa taifa wanajua sasa ni vile tu wamenyaaa.. ila...
Haya mambo yanakuwa kama maigizo inawezekana pole2 hatutamwona tena tena... aseee this country bwana is very poor according to mrisho mpoto song! Albam mjomba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.