Tuseme ni vulugu, ghasia, au vyovyote vile! Je uhai wa wale ambao hawakuwa wahanga?
Kwamba nao walikuwa wanafanya vulugu? Huu utamaduni umeanza lini wa kuona dam ya mti ni kama kuku au mnyama?
Utamaduni tulio nao ni kupeana pole, bila kujari hyo mtu amekufa kwa namna ipi, ndvyo tumekuzwa...
Unamiaka 29 mean umezaliwa 1997.. very yangu bado u mvulana unaye elekea kwenye utu uzima...
Maisha yako na hasira zako zitakufanya usifanikiwe kwenye maisha, Baba yupo sahihi na atakuwa sahihi daima..
Isivyo bahati hujajua kuwa Baba alikuunda hivyo kutokana na makosa ambayo aliyafanya...
Mkuu pamoja na mambo mengi upo sahihi kwa mtazamo wako, maisha no safari ndefu sana.. unaweza kuyafanya kwa namna nyingi.. ndyo maana kuna wengine huamua kwenda kwa waganga wa kienyeji ili wafanikiwe, wengine kujiuza, wengine kuwa majambazi, kufanya uchawa(hii nadhani ipo tz) na namna...
Kesi yoyote inatokana na ukiukwaji wa sheria na haki za msingi za binadamu..
Huenda kwel sheria ilifanyiwa marekebisho lakn y 360? Je vigezo vyao vikikuwa gazeted? How informations extended to the society?
Ikiwa sheria haitakuwa mhimili wa kuongoza basi tutakuwa kama wanyama polini.
Ifike...
Nlichojua FiFA ni kipande ni pale mshindi wa kwanza alipopatikana asee kumbe anapata pesa ndg kiasi kile duh macho yalitoka ,,😗🤪🤕 fikilia mtu anapata usd b13.. halafu mshindi wa kwanza anapata usd m50+ chukua washindi wote haifik 200m.. halafu jamaa wamekuja b13 ndani ya mwezi huu1...mpira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.