Recent content by Boniphace Bembele Ng'wita

  1. Boniphace Bembele Ng'wita

    JamiiForums Tanzania Jaji Ndunguru: Summons zitolewe kwa DCI, CDF na IGP waje kutoa ushahidi upande wa utetezi

    Mkuu mahakamani si kwa shangazi wala mjomba.. unaweza kwenda uneniandaa hvi unakakutana na hiki.. zingatia anafanya close examination ni lisuu..
  2. Boniphace Bembele Ng'wita

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Heche aendelea kutoa ushahidi Mahakamani siku ya pili

    Tutasikia mengi sana kama Hao wa wakuu wa vyombo vya usalama wakaja kujibu! Nahisi sasa wanaingia kwnye mfumo ambao lisuu alikuwa anautafuta.. kunamtu atapata dharura tu .. au hata rudi siku ya pili kwenye examination. Ngoja tuendelee kula nyama tutazikuta chini
  3. Boniphace Bembele Ng'wita

    JamiiForums Tanzania Riwaya: See Me (Nione)

    Kwan mkuu ulifunga ukurasa au ulianza nyingine ili zote utaache na uraibu? Nahis ndo maana wengi hawasomi hizi kitu kwa sabb ya kuzikatisha
  4. Boniphace Bembele Ng'wita

    JamiiForums Tanzania Makamu wa rais Ndejembi aagiza saruji kushuka bei

    Kwan majukum ya makam wa rais yalishabadilishwa? Najua alikuwa anashughulikia mazingira na mambo ya muungano.. hii ya sukari alikuwa waziri wa viwqnda na biashara pamoja na waziri mkuu.. au m ndo nmejivulugha?
  5. Boniphace Bembele Ng'wita

    JamiiForums Tanzania KERO Mchezaji wa Simba anatumia jina langu, ananiambia nikashtaki popote

    Ila wanajua kuzihandle shida hyu analeta u much know
  6. Boniphace Bembele Ng'wita

    JamiiForums Tanzania KERO Mchezaji wa Simba anatumia jina langu, ananiambia nikashtaki popote

    Angelfanya kama alivyo fanya bashite mbona mambo yangeisha tu vzr? Kila mtu angekula kulingana na urefu wa kamba yake
  7. Boniphace Bembele Ng'wita

    JamiiForums Tanzania KERO Mchezaji wa Simba anatumia jina langu, ananiambia nikashtaki popote

    Hii kesi na ya Bashite zinafana japo hazina uwiano, bashite aliweza kuihandle hii vzr kwa kuwa hakuwa na ubishi, nacho ona hapa hyu mwamba amekuwa na kiburi... Hii ndo itamponza, kwa sabb wawazi wanajua, uhamiaji wanajua idara ya usalama wa taifa wanajua sasa ni vile tu wamenyaaa.. ila...
  8. Boniphace Bembele Ng'wita

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: John Mnyika Kuendelea kumtetea Tundu Lissu Mahakamani. Maswali ya Dodoso kutoka Jamhuri kuendelea leo 1, Septemba 2026

    Mnyika is very smart man! Hivi hawa mawakili kwa nini wasiwe wanaunda maswal elekezi!? Au wameishiwa ubunifu! Myika anahitaji kongole kabisaaaa..
  9. Boniphace Bembele Ng'wita

    JamiiForums Tanzania Humphrey Polepole atekwa usiku wa kuamkia leo Oktoba 6

    Haya mambo yanakuwa kama maigizo inawezekana pole2 hatutamwona tena tena... aseee this country bwana is very poor according to mrisho mpoto song! Albam mjomba.
  10. Boniphace Bembele Ng'wita

    JamiiForums Tanzania Donald Felix Mwembe: Lissu amekaa sana gerezani inauma, Heche akubali maridhiano atoke

    Njaa huwa mbaya sana kwenye maisha hasa ikichanganywa na kilevi kikali, according to pole2 maridhiano baada ya uchaguzi ni m.si.tu.
Back
Top Bottom